Coastal Union vs Simba s.c. Live updates

Coastal Union vs Simba s.c. Live updates

Ni penalt shoot-out huko Namboole,jino kwa jino kwenye hizo penalt
 
Kiiiiiimya!!!! Siku tukifungwa bila shaka ndo watang'oana meno kabisa.
 
Simba mmeanza ku'taste ugumu wa Viwanja vya ugenini enh?....Kiiza na Okwi wamepiga penalt na wote wamepata
 
kwa hiyo hata wakifanya ujinga wasipewe kadi basi hakuna haja ya kuwa na refa..

Kamanda kumbe unafahamu kwamba huwa wanafanya ujinga? mbona okwi na maftah walipopewa red cards kwa kufanya ujinga mlipiga keleleeeeeeeeeeee.
 
Wametupunguzia kasi yetu hawa mawahiba!, nasikia na huko uganda, wametolewa kwa mikwaju duh!!
 
Maskini Uganda ametolewa kwa penalt 9-8 penalt ya Patrick Ochani imei'cost
 
Hii bajeti ya Simba ya mwaka huu kwa marefa wa Tz inatisha
 
Simba wanaweza kucheza kwenye nyasi bandia tu.

Tatizo madogo wa Coastal wamekamia mechi mno kwa vile wanacheza na Simba. Mnyama bana si mchezo. Mechi ijayo utasikia Coastal kapigwa kiulaini na Sijui Mtibwa
 
Yaani hiyo droo ya leo ndo salamu za habari ya mechi za ugenini,kule Sokoine Mbeya na CCM Kirumba ni points 6
 
Back
Top Bottom