Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Yaani ni full kichekesho aisee....Sijui ni nani hasa huwa anapanga ratiba........Mechi ya kwanza nje ya Dar wameanza kwa sare licha ya Nsa Job kupewa kadi isiyo na kichwa wala migu......Ligi ya bongo vichekesho, nilikuwa sifahamu kama Simba mechi zote kachezea hapa Dar
Hii ndio mechi ya kwanza kucheza nje ya Dar......Mechi nyingine zote 6 wamechezea uwanja wa Taifa ilhali Yanga wao wamecheza mechi 4 nje ya Dar(Mbeya,Morogoro,Kagera na Mwanza) na 3 wamecheza Dar........