Oyaa endeleeni kutupa updates wengine tunaangalia game ya ukweli Uganda na Vs Zambia
Nsa job amepewa kadi nyekundu. Coast watacheza wakiwa pungufu.
Nsa job amepewa kadi nyekundu. Coast watacheza wakiwa pungufu.
Okwi ndo anaingia sasa hv kuchukua namba ya Brian Umwonyi
Rank ya FIFA inasemaje kuhusu kiwango cha mpira kati ya Uganda na Tanzania.Hapa Bongo mnamuona Okwi kama MUNGU mtu huko Uganda,anakalia benchi,ma'striker wa ukweli ndo wanaochukua namba huko
Kiiza naye ameingia pamoja na Ochani
Rank ya FIFA inasemaje kuhusu kiwango cha mpira kati ya Uganda na Tanzania.
hivi kama matokeo yakibaki hivyo uganda wanasonga mbele?
Yaani Simba mnaendeleza tu ile tecnic yenu ya kuwatumia marefa kuwatoa wachezaji wa team pinzani,haya mwambieni amtoe na mwingine ili wacheze 9 kama Oljoro ili mshinde