Coastal Union vs Simba s.c. Live updates

Coastal Union vs Simba s.c. Live updates

Kutolewa kwa Uganda kumetokana na tunda la Simba, Patrick Orchan kukosa penati. Huu ni udhaifu wa mnyama kushindwa kuendeleza vipaji vya wachezaji.
 
Hahaha acha majungu bana.
Siyo majungu mtani,tokea ligi ianze hii ni game ya 8 na katika kila game lazima mchezaji wa team pinzani apewe red card kama si mmoja wawili au mpewe penalt au vyote kwa pamoja,sasa najiuliza siku team mnayocheza nayo ikimaliza wachezaji sawa na nyinyi matokeo yatakuwaje?
 
Ligi ya bongo vichekesho, nilikuwa sifahamu kama Simba mechi zote kachezea hapa Dar
 
Hii ni live kutoka Tanga,kuna Jamaa yangu kamsikia refa akijitetea mbele ya watu fulani wanaohisiwa kuwa ni wa Simba kuwa alijaribu sana kuwatafutia penalt lakini mazingira hayakuruhusu kabisa ndo maana kaishia kutekeleza 1(la kumtoa mchezaji kwa red card) hilo la penalt likashindikana...ksbb hakuna hata move 1 Simba waliojaribu kuingia kwenye penalt box hata mtu akajiangusha..
 
Naomba mwenye data kamili aanike hapa jamvini ni mechi ipi Simba amecheza bila timu pinzani kupewa red card. Kwa nini iwe hivi? Kuna fungu la marefa! Hii inabidi ifuatiliwe.
 
Pointi 1 si haba; Yanga wangeipata kule Bukoba wangefanya sherehe.

ukiona haja kubwa inakubana mara kwa mara ni dalili tosha za kuanza kuharisha,. Tehe tehe teheee chezea mkoa wewe hata mwanao umemshindwa
 
Jinsi Bongo(Tz) ilivyo zaidi ya tunavyoijua hukawii kusikia watu wameutengenezea zengwe uwanja wa CCM Kirumba ukafungiwa kwa michezo ya ligi,game ya Simba na Toto,Toto akiwa mwenyeji ikapigwa Chamazi
 
Hii ni live kutoka Tanga,kuna Jamaa yangu kamsikia refa akijitetea mbele ya watu fulani wanaohisiwa kuwa ni wa Simba kuwa alijaribu sana kuwatafutia penalt lakini mazingira hayakuruhusu kabisa ndo maana kaishia kutekeleza 1(la kumtoa mchezaji kwa red card) hilo la penalt likashindikana...ksbb hakuna hata move 1 Simba waliojaribu kuingia kwenye penalt box hata mtu akajiangusha..

Umesikia Simba Sc Kama nyie Mpaka tujiangushe kwenye Box?. Tabia zenu za kujiangusha kwenye Box mpate Penalt msizifananishe na Simbasc.
 
we pale kirumba tuna karne hatujawai ondoka na point3, mie nikipaskiaga kirumba natamani nife

Ha ha ha ha,bora wewe unasikiaga kufa lkn hufi na huwa unaendelea kufatilia mpira,kuna mtu anaitwa Milovan akiwa pale Kirumba dk 90 za mchezo huwa anaenda Toilet kati ya mara 16 na 23,.......chezea CCM Kirumba wewe.
 
Naomba mwenye data kamili aanike hapa jamvini ni mechi ipi Simba amecheza bila timu pinzani kupewa red card. Kwa nini iwe hivi? Kuna fungu la marefa! Hii inabidi ifuatiliwe.

Kaka bila kupepesa macho,mechi ya mwisho Simba kucheza team pinzani ikamaliza na wachezaji wake kamili ni ile ya kirafiki dhidi ya Sofapaka ya Kenya zilizofatia zote lazima wamalize 11/12/13 against 10 na sometimes 9 na penalt juu
 
ukiwa na washambuliaji wazuri au viungo wazuri vitu hivi hutokea sana..mfano style ya okwi huwafanya mabeki wacheze rafu..
Okwi hajacheza game ya Yanga na Coast lakini still kadi nyekundu zilitolewa kwa timu pinzani na waliopewa kadi sio mabeki ni washambuliaji(Nsa Job na Simon Msuva)
 
Ha ha ha ha,bora wewe unasikiaga kufa lkn hufi na huwa unaendelea kufatilia mpira,kuna mtu anaitwa Milovan akiwa pale Kirumba dk 90 za mchezo huwa anaenda Toilet kati ya mara 16 na 23,.......chezea CCM Kirumba wewe.

shawambia mwaka huu mkoani watu hawana utani
 
Okwi hajacheza game ya Yanga na Coast lakini still kadi nyekundu zilitolewa kwa timu pinzani na waliopewa kadi sio mabeki ni washambuliaji(Nsa Job na Simon Msuva)

ndio wameishazoea hao wangepigwa kimoja tu ingekuwa poa balaa..
 
Sizitaki mbichi hizi, mkuu tumefanya vibaya nafikiri kosa kubwa
tunalolifanya ni kununua marefa hili litatugharimu sana mechi
za kimataifa.
Refa unanunua wewe na mashabiki maandazi wenzio. Simba Sports Club haina sababu ya kununua marefa. Ingekuwa hivyo okwi na maftah wasingekosa mechi Yanga kilaza wewe.
 
Naomba mwenye data kamili aanike hapa jamvini ni mechi ipi Simba amecheza bila timu pinzani kupewa red card. Kwa nini iwe hivi? Kuna fungu la marefa! Hii inabidi ifuatiliwe.

Ishu ni red card au mazingira ya red card?! Acheni ushabiki wa kishamba, ushabiki maandazi huo!
 
Back
Top Bottom