CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 943
Oyaa wenyeji gani hao wanaongoza,unataka kuniambia Coastal anaongoza?
I mean UGANDA0-1ZAMBIA.
Mkwakwani ngoma imekwisha hakuna goli.
Oyaa wenyeji gani hao wanaongoza,unataka kuniambia Coastal anaongoza?
Bado 0 - 0
Shukran Mohamed
Simba wanaweza kucheza kwenye nyasi bandia tu.Haya mlioko Mkwakwani tunasubiri mtuhabarishe. Naona mida ndo hii
hawa watoto wanataka kutuaibisha..
Hirizi zote wamechimbia Taifa,Wenzetu Yanga hawategemei kabisa hiyo kituMatokeo ya 0-0
Mkwakwani ni mwanzo wa safari ya Yanga kukwea kileleni.
Hahaha mwanzo mzuri mtani huko nje mtapakatwahawa watoto wanataka kutuaibisha..
Hirizi zote wamechimbia Taifa,Wenzetu Yanga hawategemei kabisa hiyo kituMatokeo ya 0-0
Mkwakwani ni mwanzo wa safari ya Yanga kukwea kileleni.
Sizitaki mbichi hizi, mkuu tumefanya vibaya nafikiri kosa kubwabora hii point moja kuliko mtu aliyeenda kagera akadumbukiziwa kimoja akarudi zake dsm
bora hii point moja kuliko mtu aliyeenda kagera akadumbukiziwa kimoja akarudi zake dsm