Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Ha ha ha ha,ata mimi Simba bana,ila tukipigwa leo kesho naamkia jangwani lol!
Unatafuta matatizo na BP wewe
Ha ha ha ha,ata mimi Simba bana,ila tukipigwa leo kesho naamkia jangwani lol!
Unatafuta matatizo na BP wewe
wewe sikuamini tena labda Saint Ivuga ndo aseme
Naomba niamini mkuu,WAGOSI walipata penati ila kaseja kaicheza na kajigonga kwenye nguzo ya goli kapasuka KORODANI.wewe sikuamini tena labda Saint Ivuga ndo aseme
hakuna cha kadi yoyote wadau acheni uongo. Dakika ya 43 bila bila bado.
Naomba niamini mkuu,WAGOSI walipata penati ila kaseja kaicheza na kajigonga kwenye nguzo ya goli kapasuka KORODANI.
Mkuu sema wewe kwamba ni dk ya 45 mie nikisema hawataamini!Hahahhaha.
ni sawa na kuwa yanga then ulaya ushabikie Arsenal full pressure.
tusubiri second half wakuu