Club ya Barcelona inasheherekea siku ya LGTBQ Duniani

Status
Not open for further replies.
mpira ni sehemu au mpango WA kishetani...

Mpira unahamasisha ngono ,,unahamasisha ushaoga,,ulevi,kamari,,uvivu,,hasira,, ibada ya sanamu,,

Nasisitiza tena Mpira ni hekima toka kuzimu..ww mkristo mwenzang achana na mamb ya mpira coz unamwabudu shetan bila kufahamu..
Acha kusambaza habari za uongo ma za kuchochea chuki. We Kama hupendi mpira usifuatilie, usilazimishe watu kutofautilia na kupata burudani. Pilipili usioilamba inakuwashia nini. Hamna kitabu Cha dini kinachosema mpira unachochea chochote ulichosema hapo. Na dini umeleta zinaa, mauwaji, wivu, chuki, kuliko chochote kile duniani. So usianze kuongea maneno kujifurahisha. We ni mtu mzima
 
Wazee wa suti hawapromote tu ushoga bila faida,lengo lao kuu ni kupunguza idadi ya watu Duniani wabakie watakaoweza wacontrol.
Ushoga ulikuwepo tokea enzi za hunting na gathering ndo maana Hadi vitabu vya dini vimekataza it means ulikuwepo ndo wakatunga sheria against it. Kama ni population control si watu wangepungua huko ulaya marekani. Nitajie nchi ambayo imeadopt ushoga afu population inapungua...bongo Kuna mashoga kibao tu ila tupo million 60 population acheni Mila na Imani potofu
 
Hao watoto wanaozaliwa siku hizi wengi wao ni MASHOGA.

Wanaweza kuweka kakitu kwenye madawa cha kusababisha mzae MASHOGA na TRANSGENDERS, au unafikiri wanashindwa?

Ni rahisi sana, unawalisha makemikali ya kuharibu mpangilio wa asili wa mwili kwisha habari. Wanazaa DEFECTIVE CHILDREN.
Then why don't they do it. We unakunywa coca products na Pepsi products kampuni za marekani zimesambaa dunia nzima. Why hawajaweka hizo hormones ili uwe unafirwa. Bro kufirwa au kufira ni sexuality Kama mtu anavyoamua aoe au awe padri, ni feelings zako mwenyewe sio kitu Cha kulishwa au kuwa influenced. So we ukiona rainbow ndo utatamani kufirwa au..? Mbona mnakuwa Kama watoto wa kindergarten
 
Hao watoto wanaozaliwa siku hizi wengi wao ni MASHOGA.

Wanaweza kuweka kakitu kwenye madawa cha kusababisha mzae MASHOGA na TRANSGENDERS, au unafikiri wanashindwa?

Ni rahisi sana, unawalisha makemikali ya kuharibu mpangilio wa asili wa mwili kwisha habari. Wanazaa DEFECTIVE CHILDREN.
Hakuna mtoto anazaliwa shoga
 
Hii vita tutapoteza kama tulivyopoteza vita zingine zote. Yaani 2050 dunia itakuwa na hali mbaya sana kwenye hii issue ya kutifuana mitaro, pole nyingi sana kwa waliozaliwa 2010+
Ni upepo tu utapita, amini hilo.

Denmark wametoa takwimu leo kuwa LGBTQI yaongoza kwa kujiua kwa 7/10
 
Acha kusambaza habari za uongo ma za kuchochea chuki. We Kama hupendi mpira usifuatilie, usilazimishe watu kutofautilia na kupata burudani. Pilipili usioilamba inakuwashia nini. Hamna kitabu Cha dini kinachosema mpira unachochea chochote ulichosema hapo. Na dini umeleta zinaa, mauwaji, wivu, chuki, kuliko chochote kile duniani. So usianze kuongea maneno kujifurahisha. We ni mtu mzima

Mimi sijazungumzia dini..nazungumzia Mpira unahamasisha uvivu Kwa kubet ,vijana wanashinda kubet wakisubir utajir hawataki kufanya kazi..

Mpira unahamasisha ushoga coz mara kadhaa timu Zina support hyo jamiii refer psg,baselona,na world cup nchi kadhaaa.. nk

Ugomvi na hasira..hapa ukikutana na washabiki kindakindaki wakulia Lia wale wa Simba yanga man u na sijui Madrid...

Ulevi coz washabiki uwanjan ni kupombeka tuuu na mwisho ngono tuu wakitoka umo uwanjan...
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom