Club D(Arusha) vs Maisha club (DSM)

Club D(Arusha) vs Maisha club (DSM)

Hizi club chuga ni motoo wakuotea mbaliii…
1)club d
2)pin point…
3)
4)

Malizieni wenyeweeee manaaaa mkuuu hizo club ni shidaaaaa tuup..

madem wa r chuga ni eazy na wababaikaji,nilichukua dem hapo club d kashobokea mapozy tu kajua huyu sio wa hapa,halafu macharii walikua wana mmind dem wao wakaja kunipiga bit,niliwatoa show hawakuamini na dem nikasepa nae na nikamkopa vilevile
 
madem wa r chuga ni eazy na wababaikaji,nilichukua dem hapo club d kashobokea mapozy tu kajua huyu sio wa hapa,halafu macharii walikua wana mmind dem wao wakaja kunipiga bit,niliwatoa show hawakuamini na dem nikasepa nae na nikamkopa vilevile

Hahahaha mkuuu nomaaa sanaaa
 
Weeeeh! acha kabisa kulinganisha Mechi za Mchangani na EUEFA, Arusha hakunaga Disco Vumbi la wanuka vikwapa na K..u...ma taka Kama maisha club, Huku ni Bilioneas na Diplomats, kwa Dar nzima et Domo ndio executive. A -town madem wako fit lugha zote za kigeni, club unaingia unatumia USD kama madafu kama alivyo sema Prof TD. Arusha is an International Place, Dar is for indigenous local people and swahilis. Full of RAT ROADS. Haah haaaa haaaa! Waiter plz, drinks 4 me and my friends, MTAZAMO, Arusha one and our Queen Preta.
Gwangambo bana, kumbe tambo zako kali hivyo! Eti Preta, Liverpool kweli hayo?
 
Last edited by a moderator:
Weeeeh! acha kabisa kulinganisha Mechi za Mchangani na EUEFA, Arusha hakunaga Disco Vumbi la wanuka vikwapa na K..u...ma taka Kama maisha club, Huku ni Bilioneas na Diplomats, kwa Dar nzima et Domo ndio executive. A -town madem wako fit lugha zote za kigeni, club unaingia unatumia USD kama madafu kama alivyo sema Prof TD. Arusha is an International Place, Dar is for indigenous local people and swahilis. Full of RAT ROADS. Haah haaaa haaaa! Waiter plz, drinks 4 me and my friends, MTAZAMO, Arusha one and our Queen Preta.

Acha kukariri ww..
 
Club D iz the best! Watu wa moshonoo njooni huku semeni na ile underground hakuna fujo wala nn hahahahahahaha
 
viroba vishaanza kuchukua nafasi kwenye medula mapemaaaaaaaaaaa!
 
madem wa r chuga ni eazy na wababaikaji,nilichukua dem hapo club d kashobokea mapozy tu kajua huyu sio wa hapa,halafu macharii walikua wana mmind dem wao wakaja kunipiga bit,niliwatoa show hawakuamini na dem nikasepa nae na nikamkopa vilevile

Inategemea na demu wa aina gani mkuu!kuanzia shepu na kadhalika.ooh!nimekumbuka!?kumbe MACHALII walikumaind??MACHALII INA MAANA HAT DEMU WENYEWE WA KISWAZI TU
 
Inategemea na demu wa aina gani mkuu!kuanzia shepu na kadhalika.ooh!nimekumbuka!?kumbe MACHALII walikumaind??MACHALII INA MAANA HAT DEMU WENYEWE WA KISWAZI TU

kiukweli dem alikua mkali ndio maana na mimi nilikolea,na hao machalii wanaonekana ni wakali wa a town,si ndio wakaniletea za ki arusha eti siondoki na dem, minikawapa za down town nikamuuliza dem unaondoka na mimi au machalii ?dem kasema mimi, machalii wakaanzisha ugomvi bila kujua adui yao yuko fit kiasi gani na anasilaha gani,kiukweli nilitoa show nzuri na fupi,na walikubali unajua walisemaje ? poa braza leo umeshinda lakini haijaisha tutakupata tu,minsharudi dar wao wananitafuta arusha
 
kiukweli dem alikua mkali ndio maana na mimi nilikolea,na hao machalii wanaonekana ni wakali wa a town,si ndio wakaniletea za ki arusha eti siondoki na dem, minikawapa za down town nikamuuliza dem unaondoka na mimi au machalii ?dem kasema mimi, machalii wakaanzisha ugomvi bila kujua adui yao yuko fit kiasi gani na anasilaha gani,kiukweli nilitoa show nzuri na fupi,na walikubali unajua walisemaje ? poa braza leo umeshinda lakini haijaisha tutakupata tu,minsharudi dar wao wananitafuta arusha

duh!ulitisha
 
Back
Top Bottom