Club 71 Tegeta kwishineiiiii!

Club 71 Tegeta kwishineiiiii!

Acha ujinga wewe usijifanye hujaelewa wewe utapenda uende sehemu unanunua kinywaji chako ukikiweka chini tuu ukageuka kimekwenda na maji the so called masela (masela mavi) wamechukua!!au mara watu wameanza kupigana na vyupa bila 7bu za msingi..au umekuja na demu wako wahuni waanze kuzingua!!hapo elimu inahusika kweli hapo kaka?------- wewe
naskitika watanzania common kabisa sasa mnabaguana eti classy hicho kielimu ulichokopeshwa ndo kinakupa jeuri na kujiona classy fool sio misingi aliyoweka baba wa taifa
 
Nakumbuka niliwahi kuja kwenye iyo CLUB 71 kama 5months zimepita ivi ipo ndani ya PLAZA 1 inaitwa KIBO, sehemu yenyewe SHAMBA kule, i remember natoka kwny iyo CLUB 71 naenda kwenye VEROSSA yngu security guard wa pale wakanipiga mzinga, ikabidi niwape GRANTS iliyobakia ila niliwadharau sana. though it's a gud place.
 
Nakumbuka niliwahi kuja kwenye iyo CLUB 71 kama 5months zimepita ivi ipo ndani ya PLAZA 1 inaitwa KIBO, sehemu yenyewe SHAMBA kule, i remember natoka kwny iyo CLUB 71 naenda kwenye VEROSSA yngu security guard wa pale wakanipiga mzinga, ikabidi niwape GRANTS iliyobakia ila niliwadharau sana. though it's a gud place.

Mkuu bongo kupigwa mzinga sio big deal
Ukitua tu pale airport mizinga inaanza hado siku unapoondoka
 
Back
Top Bottom