Clouds yaipotezea UKAWA

Last edited by a moderator:
Babra Hassan huyu kapoteza kabisa haiba yake ya utangazaji,naomba CV zake, uwa anashupaa sana na maneno ya kiingereza ili tumuone msomi kumbe kanjanja leo kashupaa na UKAWA, kinyume kabisa na maadili ya Utangazaji hajui ata miiko ya taaluma yake,{Back Tanganyika}.
 
 
Last edited by a moderator:
Wewe unafikiri wananchi wooote wa Tz wanasikiliza clouds tu
 
ka redio ka wachumia tumbo kale, wasipoisifia ccm watakula wapi?
 
 
Last edited by a moderator:
Wandugu fanyeni kazi kweli mnaweza kubishana kwa ajili ya BABRA PJ NA MBIGA?
makanjanja hawa wanapalilia maccm ili wapate mshahara
bwana mkubwa anawa boost sana.
UPEO MDOGO SANA WA HAWA WATU!
 
 
Last edited by a moderator:
Hii station si ndo watangazaji wake walizitwangwa wakiwa live on air??
 
 
wewe unawasikiliza wahuni wa Clouds alafu unataka tuwajadili kwa lipi?

wewe hufahamu clouds Media inasaidiwa na ccm hata baadhi ya kodi hawalipi kwa sababu wanaibeba ccm?
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…