Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,134
Nilikuwa nasikia tu sauti yake nikawa naimagine ni mdada mzuri mwenye swagger duh nilistaajabu nilivyoona picha yake kwenye blog moja hivi aiseee sauti na muonekano wake ni vitu viwili tofauti
Wewe mwenyewe ni kichaa unayeunga clouds mkono alafu ni ulize mmliki wake ni Muhaya au ??
Siyo mbaya mbona my dear Honey Faith, ila ni mfupi mnene amejazia hips pia hajichubui, ila ni mkubwa sana kwako.
Unajuaje kama ni mkubwa kwangu?Ninaweza kuwa mie ni mkubwa kwake.By the way sikutegemea alivyo kulinganisha na swagger zake za redioni.Inaonekana unapenda wafupi na wenye hips Richpol
Chezea Ikulu sports club.Yani swagger zake na yeye mhhhhh???!
Unajuaje kama ni mkubwa kwangu?Ninaweza kuwa mie ni mkubwa kwake.By the way sikutegemea alivyo kulinganisha na swagger zake za redioni.Inaonekana unapenda wafupi na wenye hips Richpol
Mkubwa huyu kwako! First born wake Ana 14 years old wewe na mwingine katika wimbo (natamani Kuwa Malaika- Lady jaydee) kama umeuona wimbo huo ni Mtoto wake na wanafanana sana.
Mimi napenda msichana mwenye umbo kama lako, nachanganyikiwa kabisa.
Mkubwa huyu kwako! First born wake Ana 14 years old wewe na mwingine katika wimbo (natamani Kuwa Malaika- Lady jaydee) kama umeuona wimbo huo ni Mtoto wake na wanafanana sana.
Mimi napenda msichana mwenye umbo kama lako, nachanganyikiwa kabisa.
Mie first born wangu ana miaka 18 sasa si unaona nimemzidi mbali sana.Haya Richpol endelea kuchanganyikiwa kabisa ila angalia usijefika milembe kwa uchizi unaojitafutia........lok
Mie first born wangu ana miaka 18 sasa si unaona nimemzidi mbali sana.Haya Richpol endelea kuchanganyikiwa kabisa ila angalia usijefika milembe kwa uchizi unaojitafutia........lok
Hata mimi my first born Ana umri kama wako,
Wacha niendelee kuchanganyikiwa maana sisi bila nyie Dunia haiwezi kuzunguruka.
Mkubwa huyu kwako! First born wake Ana 14 years old wewe na mwingine katika wimbo (natamani Kuwa Malaika- Lady jaydee) kama umeuona wimbo huo ni Mtoto wake na wanafanana sana.
Mimi napenda msichana mwenye umbo kama lako, nachanganyikiwa kabisa.
Umeongea upuuzi mtupu. Wewe hapo una miaka 30. Mama yako alipigwa mimba wakati ana miaka 15 huoni kama mama yako bado m-bichi kabisa pamoja na kuwa na toto lenye 30 Yrs? Na bahati yake mbaya toto lenyewe limejaza makamasi tu kichwani
Umeongea upuuzi mtupu. Wewe hapo una miaka 30. Mama yako alipigwa mimba wakati ana miaka 15 huoni kama mama yako bado m-bichi kabisa pamoja na kuwa na toto lenye 30 Yrs? Na bahati yake mbaya toto lenyewe limejaza makamasi tu kichwani
Mbona hueleweki? Umekunywa nini mchana huu wakati hakuna mkutano wala mdahalo leo?
Hata mimi my first born Ana umri kama wako,
Wacha niendelee kuchanganyikiwa maana sisi bila nyie Dunia haiwezi kuzunguruka.
Haya bwana hongera kwa kuwa na mtoto mkubwa
Umeongea upuuzi mtupu. Wewe hapo una miaka 30. Mama yako alipigwa mimba wakati ana miaka 15 huoni kama mama yako bado m-bichi kabisa pamoja na kuwa na toto lenye 30 Yrs? Na bahati yake mbaya toto lenyewe limejaza makamasi tu kichwani
Aiseee una maneno makali sana na haipendezi kabisa kuwaingiza wazazi kwenye mambo ambayo hayawahusu.Hebu tuwe na respect kwa wazazi wetu
Chezea Ikulu sports club.Yani swagger zake na yeye mhhhhh???!
Dah kumbe ndo huyu na mashauzi yote mbebwe nyingi na umbilikimo huyu ni janga