Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Kwa hizi redi unaonekana hauhusiki kabisa na kitendo walichofanya clouds kama kipo kweli! Nakushangaa pilipili usiyoila yakuwashia nini? Waache wanaoona hawajatendewa haki walalamike wenyewe. Siyo wewe third party!!
Hivi siyo wewe ulikuwa ukishabikia vyama vingine vya upinzani kwenda pamoja na CHADEMA kumuona JK, just thinking out loud!!!!!!!