Clouds wafanya utapeli!!

I-NGOSHA

JF-Expert Member
Nov 7, 2011
496
182
Clouds wamewatapeli mashabiki kwa kuwalipisha sh 10000 kwa ajili ya kushuhudia shoo ya DMX na fabulous na kuwahadaa wasanii wa kitanzania kuwa watapanda jukwaa moja na manguli wa muziki kutoka marekani. Hivi haiwezekani hawa jamaa mashabiki wao wakawashitaki kwa utapeli walioufanya kwa ajili ya masilahi yao binafsi?
 
Clouds wamewatapeli mashabiki kwa kuwalipisha sh 10000 kwa ajili ya kushuhudia shoo ya DMX na fabulous na kuwahadaa wasanii wa kitanzania kuwa watapanda jukwaa moja na manguli wa muziki kutoka marekani. Hivi haiwezekani hawa jamaa mashabiki wao wakawashitaki kwa utapeli walioufanya kwa ajili ya masilahi yao binafsi?
Kwa hizi redi unaonekana hauhusiki kabisa na kitendo walichofanya clouds kama kipo kweli! Nakushangaa pilipili usiyoila yakuwashia nini? Waache wanaoona hawajatendewa haki walalamike wenyewe. Siyo wewe third party!!
 
Kwa hizi redi unaonekana hauhusiki kabisa na kitendo walichofanya clouds kama kipo kweli! Nakushangaa pilipili usiyoila yakuwashia nini? Waache wanaoona hawajatendewa haki walalamike wenyewe. Siyo wewe third party!!

mkuu hata mimi nawashangaa sana ...

 
Kwa hizi redi unaonekana hauhusiki kabisa na kitendo walichofanya clouds kama kipo kweli! Nakushangaa pilipili usiyoila yakuwashia nini? Waache wanaoona hawajatendewa haki walalamike wenyewe. Siyo wewe third party!!

mkuu hata mimi nawashangaa sana ...

Ndo maana kuna raia kazi zao ni kutetea haki za wanyonge. Wazee wa law imekaaje hii?
 
kwa hizi redi unaonekana hauhusiki kabisa na kitendo walichofanya clouds kama kipo kweli! Nakushangaa pilipili usiyoila yakuwashia nini? Waache wanaoona hawajatendewa haki walalamike wenyewe. Siyo wewe third party!!
kweli hainihusu kwa sababu nilienda kwa vinega na nikapewa burudani ambayo thamani yake ni kubwa kuliko shilingi niliyoilipia ila inaniuma kuona wewe sharobaro rejao na wenzako ambao ni watanzania wenzangu mkidhulumiwa stahiki zenu!!
 
Sugu motochini Nyie pigeni kelele ya kudhulumiwa mi acha nikae na hang over zangu za antvirus
 
kweli hainihusu kwa sababu nilienda kwa vinega na nikapewa burudani ambayo thamani yake ni kubwa kuliko shilingi niliyoilipia ila inaniuma kuona wewe sharobaro rejao na wenzako ambao ni watanzania wenzangu mkidhulumiwa stahiki zenu!!
Kama unasema kuna dhuluma, hao vinega wapo wapi kimuziki? wale ambao unaona wanadhulumiwa ndio wana excel. Kwa muziki wa Tanzania kuwa against clouds ni kama kujiia kisanii. Tamasha la sugu limefanikiwa ndio, then what is next? kumbuka hiyo ilikuwa one day event na baada ya hapo hao vinega watarudi mtaani kuumia tu cuz hawatakuwa na kuwabeba.
 
Kwa hizi redi unaonekana hauhusiki kabisa na kitendo walichofanya clouds kama kipo kweli! Nakushangaa pilipili usiyoila yakuwashia nini? Waache wanaoona hawajatendewa haki walalamike wenyewe. Siyo wewe third party!!

Wacha kushabikia Ujinga wewe!!
Sio lazima uwe umedhulumiwa wewe ndio ulalamike, huo ni ubinafsi.
Katika umati wote wa waliotapeliwa pale LEADERS hakuna anaekuhusu???
Nyie ndio mnakulaga BAN kwa ukosefu wa UTU
 
Kwe kwe kwe kwe!! Mliokwenda leaders mnapenda watu wa nje ya nchi yenu. Siku mtaletewa camerun na crouds mtaenda tu sio wazalendo acheni kushoboka dmx ni nani mbele ya haki za wasanii wa nyumbani, wabongo tukue tuacheni ungese.
 
kama unasema kuna dhuluma, hao vinega wapo wapi kimuziki? Wale ambao unaona wanadhulumiwa ndio wana excel. Kwa muziki wa tanzania kuwa against clouds ni kama kujiia kisanii. Tamasha la sugu limefanikiwa ndio, then what is next? Kumbuka hiyo ilikuwa one day event na baada ya hapo hao vinega watarudi mtaani kuumia tu cuz hawatakuwa na kuwabeba.
harakati bado zinaendelea unadhani hizi harakati zimeanza juzi hebu sikiliza nyimbo za sugu kidogo utaelewa sharobaro rejao!!
 
Hapo wa kulaumu ni washabiki walishaelezwa kabisa na sugu

Kwani hatujawahi kuelezwa ubaya wa kuchagua magamba kwenye uongozi wa nchi hii na bado tukawachagua???!!!
Mambo mengine tunajitakiaga tu wenyewe
 
Kama unasema kuna dhuluma, hao vinega wapo wapi kimuziki? wale ambao unaona wanadhulumiwa ndio wana excel. Kwa muziki wa Tanzania kuwa against clouds ni kama kujiia kisanii. Tamasha la sugu limefanikiwa ndio, then what is next? kumbuka hiyo ilikuwa one day event na baada ya hapo hao vinega watarudi mtaani kuumia tu cuz hawatakuwa na kuwabeba.
Njia ya kutafuta haki ni ngumu na ndefu sana kijana,imemgharimu mandela umri wako,ustawi wa south africa wa leo ni matunda na mateso wa kina steven bikko,walte sisulu,madiba na wengine wengi,naamini watafanikiwa na kuna cku wataungwa mkono na wanamuziki wote wa bongo,nigeria wanamuzi wa pale wanakula matunda yao sasa na kuthaminiwa cos ya umoja wao,amini nachokuambia ipo cku haina jina wanamuziki wa bongo wataungana na kupigania haki zao,kimtezamo vinega wapo hatua ya pil mbele cos safari hatua na huwa na mwanzo na huu ndio mwanzo wa safari ya usawa na haki
 
Back
Top Bottom