Wana-Jamiiforums,
Nilijitolea tangu siku ya Fiesta kuhesabu clouds watapiga mara ngapi nyimbo za Diamond vs za Kiba, mpaka sasa sijasikia wala kuona za Diamond, kwa sasa nipo likizo na niliamua kusikiliza radio hii kukamilisha uchunguzi.
Sasa nimegundua na kujiridhisha kwamba wao ndio walikodi watu wa kumzomea Diamond pale Leaders na wanaendelelza hii chuki kwa kutopiga nyimbo zake, au aliwapa bei kubwa sana? mbona hao wanaotoka Marekani mnawapa hela kibao hata kama sio wanamuziki wazuri? yaani kiukweli huwa mnaleta watalii tu.
Diamond ataendelea kuwa juu na atashuka siku Mungu akiibua mwingine na siKiba keshachuja huyo. Mlijaribu MwanaFA dhidi ya Jaydee mkaangukia pua, sasa yaonekana mmeongeza nguvu na mtashindwa vibaya. Eti kila kipindi sasa anapigwa Alikiba utafikiri tangazo lililolipiwa siku nzima!!duh mnaboa
Nilijitolea tangu siku ya Fiesta kuhesabu clouds watapiga mara ngapi nyimbo za Diamond vs za Kiba, mpaka sasa sijasikia wala kuona za Diamond, kwa sasa nipo likizo na niliamua kusikiliza radio hii kukamilisha uchunguzi.
Sasa nimegundua na kujiridhisha kwamba wao ndio walikodi watu wa kumzomea Diamond pale Leaders na wanaendelelza hii chuki kwa kutopiga nyimbo zake, au aliwapa bei kubwa sana? mbona hao wanaotoka Marekani mnawapa hela kibao hata kama sio wanamuziki wazuri? yaani kiukweli huwa mnaleta watalii tu.
Diamond ataendelea kuwa juu na atashuka siku Mungu akiibua mwingine na siKiba keshachuja huyo. Mlijaribu MwanaFA dhidi ya Jaydee mkaangukia pua, sasa yaonekana mmeongeza nguvu na mtashindwa vibaya. Eti kila kipindi sasa anapigwa Alikiba utafikiri tangazo lililolipiwa siku nzima!!duh mnaboa