Clouds TV mnatia aibu!

Clouds TV mnatia aibu!

Wana muda mrefu lakini hawajifunzi tu na kubadilika.........!!!!
 
hawa jamaa bado kabisa kwenye upande wa tv kuanzia taarifa ya habari ni kama ngonjera au kama mtu anasimulia hadithi then upande wa graphics wapo nyuma sana compere to EATV

Hawana ela ya kunuulia mitambo ya kisasa ngoja wazichange kutoka kwa wadhamini kwnza
 
Maandiko yako yana reflect ubongo wako. La pili A utamaliza lini maana kuandika tu bado issue

Yote kwa yote,niwe nasoma la pili A, au sikusoma kabisa mimi sijali maana kuandika nako ni fani, sikusomea uandishi ila nimegundua hii redio na TV yake mnaipenda, ndomaana mnajua vipindi vyake na watangazaji wake karibu wote kwanini Cloud tu. mimi binafsi pale radio nasikiliza michezo,na jumapili nakaa pale kuanzia saa nane mpaka saa 10 basi kwenye TV sina kipindi taarifa ya habari Naangalia Startv, ITV, TBC,CH10 na Azamu tv, kama cloud hawasomi taarifa habari kwa sio shida. Watanzani tuache majungu, tuache cloud wafanye vipindi vyao ndo tofauti ya tv station si lazima maudhui yafanane.
 
clouds hawana jipya kuanzia tv mpaka redio matangazo kibao na mtangazaji akisema kweli unawekwa pending kama dinamarios wa leo tena

Tupe kisa icho cha dina marios
 
Kituo cha television cha clouds, kwa kweli kwenye upande wa tv mlikuwa hamjajipanga kabisa kifupi mlikurupuka!!

Kwani haiwezekani kwa matukio ya habari yanayotokea nchini kila siku, nyie mnakuwa na habari moja tu!

Mfano leo local news wametangaza habari moja tu, na jicho la mwewe, eti taarifa ya habari imekwisha!!!

Kwani lazima muwe na taarifa za habari??!!

Mkuu mi naangalia taarifa za TV IMAAN. Sa sijui tutaita taarifa ya habari au tuite taarifa tu.
 
Haha..Clouds wamekaa kimbea tangu zamani..Watoto wa magorofani.Hata watazamaji na wasikilizaji wa radio yao wana upeo mdogo sana...kuna siku niliona bahati mbaya sehemu mida ya asubuhi..kuna jamaa wawili..mmoja km katoka kijiji anakimbizana kufanana mjini,wa pili km wa mjini ila ana sura fulani ya kisavimbi ya watoto watoto wa majini ambao wakikaa getini huwezi mwona boss kwa jins wanavyobana...huwa wanaboa km watoto wa kike.

hahaha ndo hilo lenye midevu ya duara anatangaza utafikir yupo kwenye kikao cha harus...halafu anajionaga downtown wakat mwonekano una mprove wrong!!!
 
Hahahaaaaa!Hawa wenzetu wa media na macelebrities wana kazi sana, huyo jamaa pia simkubali halafu hua ana kama kujisikia flani hivi!

ndo hivo mkuu..mi nafkr anashindwa kujielewa yy ni mtu wa aina gan ndo maana hicho kiti kinampwerepweta
 
Clouds naona ni wajanja tu,wamelenga audience ya vijana watoto wasiojielewa,kwahiyo wame dumb down makusudi kuendana na audience yao isiyo na IQ ya kutosha

Nadhani audience yao ni hiyo hiyo ya Shigongo,na ndio wanaitaka....ila sidhani kama ni very sustainable in a long run....
 
hahaha ndo hilo lenye midevu ya duara anatangaza utafikir yupo kwenye kikao cha harus...halafu anajionaga downtown wakat mwonekano una mprove wrong!!!

anaitwa Hudson kamoga...hana ufaham wa mambo mengi sana...hafai Kuwa muongoza kipindi...anajiona sana...kama wasemavyo wahenga ..mjinga hucheka Mara mbili..ndivyo alivyo huyo jamaa ni bogus hatar ila yeye anajiona kama anaweza....hajishughulishi ili kupanua ufaham wake...
kwa kweli hatoshi kwenye kile kipindi..
 
Nchi ya ajabu hii, ina watu tunajiona tunaelewa kuliko uelewa wenyewe, tunajifanya wademokrasi, wakati hatuijua nini demokrasi, mkiwa mpeznzi wa mwanacha chama kikine wewe ni kibaraka. Ala bila aibu tunadhani kila redio, au tv lazima wasome taarifa ya habari, kama ITV bila kujua habari zinaweza kuwasilishwa kwa njia mbalimbali, hii nchi kwakweli watanzania tuko nyuma sana kwa hali hii ya chuki tulionayo, hivi uhuru tunaoulilia ni upi, kwanini ufungue TV yenye vipindi visivoendana na wewe, Watanzania Tuache majungu fitna, buni shuguri zako.
we utakua adam ww kwa ulivyoandika unatetea upuuzi
 
Habari kamili utazipata eatv/itv/startv na azam two tu cloudz wanafaa muzki na kiduku
 
Ajabu ni kwamba bado mnatazama vipindi vyao!! Inawezekana wanachokitangaza kina-reflect akili za Watazamaji wao
 
Labda mm fikra zangu ni finyu.lkn sidhan kama kuna radio/tv station inayoweza toa huduma na kuridhisha watu wote,inawezekana wakawa wa bovu kwenye taarifa ya habar lkn wakawa wazuri kwenye burudan.na burudan ni tasnia kubwa.inawezekana wakawa wazur kwenye mziki lkn michezo wakaharibu.ninachosema tuna optn ya kufanya uchaguz kulingana na maitaji.kama watakosa wasikilizaji/watazamaji effect ni yao.maana hata wadhamini wa vipindi wanaangalia zaid coverage &usikilizwaji
 
Ushawahi kuona wapi habari inaanza na hadithi.

Hata kwenye radio

Msoma habar mmoja somebody Kombe ye lazma aanze na stori ndo habari,sijui ndo taaluma yao inasema hvo? Kama ndio basi vtuo vngne wanakosea....uzur wa clouds ni much know hahah
 
Takwimu hizi hapa ...sijui za kupika ama.??
 

Attachments

  • 1437204958205.jpg
    1437204958205.jpg
    48.6 KB · Views: 170
Back
Top Bottom