ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
juzi wametangazwa kuwa tv station inayopendwa zaid tz
Na nani
juzi wametangazwa kuwa tv station inayopendwa zaid tz
hawa jamaa bado kabisa kwenye upande wa tv kuanzia taarifa ya habari ni kama ngonjera au kama mtu anasimulia hadithi then upande wa graphics wapo nyuma sana compere to EATV
Maandiko yako yana reflect ubongo wako. La pili A utamaliza lini maana kuandika tu bado issue
clouds hawana jipya kuanzia tv mpaka redio matangazo kibao na mtangazaji akisema kweli unawekwa pending kama dinamarios wa leo tena
Kituo cha television cha clouds, kwa kweli kwenye upande wa tv mlikuwa hamjajipanga kabisa kifupi mlikurupuka!!
Kwani haiwezekani kwa matukio ya habari yanayotokea nchini kila siku, nyie mnakuwa na habari moja tu!
Mfano leo local news wametangaza habari moja tu, na jicho la mwewe, eti taarifa ya habari imekwisha!!!
Kwani lazima muwe na taarifa za habari??!!
Haha..Clouds wamekaa kimbea tangu zamani..Watoto wa magorofani.Hata watazamaji na wasikilizaji wa radio yao wana upeo mdogo sana...kuna siku niliona bahati mbaya sehemu mida ya asubuhi..kuna jamaa wawili..mmoja km katoka kijiji anakimbizana kufanana mjini,wa pili km wa mjini ila ana sura fulani ya kisavimbi ya watoto watoto wa majini ambao wakikaa getini huwezi mwona boss kwa jins wanavyobana...huwa wanaboa km watoto wa kike.
Hahahaaaaa!Hawa wenzetu wa media na macelebrities wana kazi sana, huyo jamaa pia simkubali halafu hua ana kama kujisikia flani hivi!
hahaha ndo hilo lenye midevu ya duara anatangaza utafikir yupo kwenye kikao cha harus...halafu anajionaga downtown wakat mwonekano una mprove wrong!!!
we utakua adam ww kwa ulivyoandika unatetea upuuziNchi ya ajabu hii, ina watu tunajiona tunaelewa kuliko uelewa wenyewe, tunajifanya wademokrasi, wakati hatuijua nini demokrasi, mkiwa mpeznzi wa mwanacha chama kikine wewe ni kibaraka. Ala bila aibu tunadhani kila redio, au tv lazima wasome taarifa ya habari, kama ITV bila kujua habari zinaweza kuwasilishwa kwa njia mbalimbali, hii nchi kwakweli watanzania tuko nyuma sana kwa hali hii ya chuki tulionayo, hivi uhuru tunaoulilia ni upi, kwanini ufungue TV yenye vipindi visivoendana na wewe, Watanzania Tuache majungu fitna, buni shuguri zako.
Ajabu ni kwamba bado mnatazama vipindi vyao!! Inawezekana wanachokitangaza kina-reflect akili za Watazamaji wao
Ushawahi kuona wapi habari inaanza na hadithi.