Clouds TV mnatia aibu!

Clouds TV mnatia aibu!

nifah umerudi mumie jamani i mic u people, na warumi nae alisepa nilibaki na diva tu. Welcome

Miss you more dear, halafu umenikumbusha ngoja nimcheki warumi PM maana umbea hadi nimeanza kuusahau kwakweli.
 
Last edited by a moderator:
Wana muda mrefu lakini hawajifunzi tu na kubadilika.........!!!!

Mtaniii...mambo? Leo tukutane jioni sports kule.
Vipi Masuke kapotelea wapi? Nina muda sana sijamuona humu!
 
Last edited by a moderator:
Clouds matangazo ni kero.....matangazo mengi mfululizo na bado mtangazaji akianza kuongea anaanza na matangazo kwanza......dakika za habari au maudhui ya kipindi ni chache sana.....
 
Yote kwa yote,niwe nasoma la pili A, au sikusoma kabisa mimi sijali maana kuandika nako ni fani, sikusomea uandishi ila nimegundua hii redio na TV yake mnaipenda, ndomaana mnajua vipindi vyake na watangazaji wake karibu wote kwanini Cloud tu. mimi binafsi pale radio nasikiliza michezo,na jumapili nakaa pale kuanzia saa nane mpaka saa 10 basi kwenye TV sina kipindi taarifa ya habari Naangalia Startv, ITV, TBC,CH10 na Azamu tv, kama cloud hawasomi taarifa habari kwa sio shida. Watanzani tuache majungu, tuache cloud wafanye vipindi vyao ndo tofauti ya tv station si lazima maudhui yafanane.

umeona eeh wanaoikandia clouds ndo wanaitazama muda mrefu. wefkiria wamemjuaje mtu mwenye midevu ya 0 na anaekula pop corn

Chamuhimu watoe hadithi za jicho la mwewe watupe habari zilizozidi mbili na si vinginevyo
 
Aisee kumbe umeona ilitokea siku moja CLOUDS TV IMEGONGANA NA MACHO YANGU .....NIKAONA MAELEZO MAREFU YAMEKAA KAMA HABARI AU SI HABARI BAADAYE NIKSHTUKA NI TAARIFA YA HABARI! WAO WAPIGE MZIKI NA KUISHADADAIA CCM!
Kituo cha television cha clouds, kwa kweli kwenye upande wa tv mlikuwa hamjajipanga kabisa kifupi mlikurupuka!!

Kwani haiwezekani kwa matukio ya habari yanayotokea nchini kila siku, nyie mnakuwa na habari moja tu!

Mfano leo local news wametangaza habari moja tu, na jicho la mwewe, eti taarifa ya habari imekwisha!!!

Kwani lazima muwe na taarifa za habari??!!
 
hahaha ndo hilo lenye midevu ya duara anatangaza utafikir yupo kwenye kikao cha harus...halafu anajionaga downtown wakat mwonekano una mprove wrong!!!
Nilipomsikia tuu nilitambua ..hao jamaa wawili wana tabia tofauti ila zote zinasema uhasilia wa watz..Huyo anayejisafisha, ni mtu anayejitetea kuwa wa mjini kwa vile ni wa kijiji..na km dada zake wamemwambia handsome basi muonekano wake ni hazina kubwa sana,na wa pili ni wa mjini anayefura kujitahidi linda himaya yake kuwa yeye ndio watoto wa mzizima hakuna wa kuwafanya kitu na hivyo anayelte ujinga anambania tuu..
 
Clouds naona ni wajanja tu,wamelenga audience ya vijana watoto wasiojielewa,kwahiyo wame dumb down makusudi kuendana na audience yao isiyo na IQ ya kutoshaNadhani audience yao ni hiyo hiyo ya Shigongo,na ndio wanaitaka....ila sidhani kama ni very sustainable in a long run....
Ila wana audience kubwa ktk watu wa mjini..hata mawaziri,na wafanyakazi wa maofisi wenye hadi hawa wanatopo up na MBA.Kwa nchi yetu hao ndio wasomi wetu.Kuna watu habari zao ni JF,Clouds(radio asubhuhi,TV mida mingine),MPira na baadhi ya vipindi vichache ktk TV nyingine.
 
Kiukweli wanaboa ukiangalia taarifa yao ya habari ni kama comedian ni bora wasiwe na taarfa ya habari tu waendelee kyfanya promo maana ndo wanachoweza zaidi
 
Kituo cha television cha clouds, kwa kweli kwenye upande wa tv mlikuwa hamjajipanga kabisa kifupi mlikurupuka!!

Kwani haiwezekani kwa matukio ya habari yanayotokea nchini kila siku, nyie mnakuwa na habari moja tu!

Mfano leo local news wametangaza habari moja tu, na jicho la mwewe, eti taarifa ya habari imekwisha!!!

Kwani lazima muwe na taarifa za habari??!!

Mkuu we umeliona leo hili? Lipo Kitambo saaana
Juzi bila mkutano wa CCM wasingekuwa na habari hata moja,maana walipiga hiyo habari kwa urefu kisha Mwewe Mchepuko huyoo(Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni,Kitengo cha Jicho la Mwewe nakikubali saana)

Sasa kali zaidi,hawana muda maalum wa Taarifa ya Haabri,Schedule yao inasema saa Moja na Nusu,ila wanakupigia mbili kasobo,wamewahi saaana mbili kasoro dak 20 au 25.

Habari zao za Ndani haizidi dakika 5 wamemaliza,na ndio maana huwa wanaanza na Ngonjera kwanza Kama mrisho mpoto,hadi uje upate habari umeishaletewa madudu teleee hata yasioendana na tukio,sijui nani kawaambia hii style ni nzuri,maana usipokuwa makini unaweza hata usielewi kama taarifa ya Habari.

Clouds Ni Chama langu ila kwa Hili wapo Hovyo kabisa

Mie Clouds naangalia Kipindi cha Michezo tu cha Usiku kina Shaffii Dauda basi kile cha Sports Bar,maana pale mpange mzima.
Na pia Antonio Nugaz kwenye Kipindi Cha Kambi Popote,Big up Brother hili ni Bonge la Kipindi

Ila taarifa ya Habari waachie wenye Fani zao

Ila lazima tujue kwamba umaskini nao ni Janga,walikurupuka kuatangaza Taarifa ya Habari bila kujua kwamba Cameras kwa Reporters inabidi ziwe za Kutosha.Sasa utakuta Camera ikienda kenye mkutano basi kama reporter hajapata tukio jingine wakati anarudi studio basi ndio imetoka,hahahah aiseee
 
Back
Top Bottom