Clouds TV mnatia aibu!

Clouds TV mnatia aibu!

Cloudsccm tv hiyo.
Wanajua kupiga deal tu kama jamaa zao magamba.
 
wadau mnaponda balaaa ikianza bibi bomba kila mtu anawahi remote aangalie
 
Si wao tu hapa tz hata redio nyingi ni ujanja ujanja tu mfano taarifa ya habari radio one saa 7 mchana huwa haizidi dkk 5 imekwisha!kana kwamba hakuba habari/matukio sasa saa 7 hiyo jaribu u tune Dw idhaa ya kiswahili habari ni mpaka saa 8 tena za dunia na cha ajabu wanatangaza kwa mapana zaidi habari za ndani ya Tz na afrika mashariki vizuri mno! Utashangaa ni redio ua nje!..kwetu hapa ni afadhali ki redio kidogo cha Wapo Fm kinajitahidi sana coverage za matukio mbalimbali nchini na nchi jirani kuliko radio zilizojaa sifa
 
Halafu eti wame badilisha nembo yao ya tv wakati iliokuwapo ilikua bora zaidi inajieleza!ya sasa ni kama Ua tu haieleweki!
 
kuna lile linafuga ndevu za duara yaan kuchwan ni mweupe...anajiongelesha tu yule anafaa kutangaza habar za kilimo

Hahahaaaaa!Hawa wenzetu wa media na macelebrities wana kazi sana, huyo jamaa pia simkubali halafu hua ana kama kujisikia flani hivi!
 
Bora leo mmeliona hilo wadau kama kuna limtangazaji lao limoja nimelisahau jina jeupe hiv linaxoma habar huku mamikono huku mara huku yaani halitulii utafkir Linapga story na Manx wake mara acheke yaan jamaa anawaharbia nkmuona yeye tu cku hyo cangalii hyo tv mpaka aondoke
 
Hiki kituo kiukweli bado kinahitaji kujipanga maana vipindi vyao pia haviendi na muda uliopangwa kwa mfano taarifa ya habari inabidi ianze saa moja na nusu ila utakuta inaanza hadi saa moja na dakika 37 au sports bar inaanza saa 4 lakin utakuta hadi saa nne na dakika ishirini bado hamna kitu! Hii ni kero sana' hawana mpangilio kabisa jirekebisheni!
 
clouds hawana jipya kuanzia tv mpaka redio matangazo kibao na mtangazaji akisema kweli unawekwa pending kama dinamarios wa leo tena

bado sana wale. habari zao hazieleweki jinsi wanavyowasilisha
 
watangazaji wao wamesomea ze amazon collage tena cozi za upishi na secretario unategemea watakuwa watangazaji bora hao? kaa sio bange ni nini?
 
Clouds ni kwa burudani tu hawako serious na utangazaji,to be honest inabidi wajipange.
 
kuna lile linafuga ndevu za duara yaan kuchwan ni mweupe...anajiongelesha tu yule anafaa kutangaza habar za kilimo

Ha ha ha nimecheka, kwakweli sikupanga ku comment ila imenibid, kwakweli nilidhan ni Mimi tu Hudson kamoga hana mwonekano wa utangazaji kwenye tv, yupo kama waigizaji wa sarafina. Labda abadili ile style yake ya manywele na midevu

Alafu tatizo lake kubwa kujifanya anajua zaidi ya wenzie pale hasa kale kadada uwa anakadharau sana, achilia mbali style ya kuendesha kipindi ila uwa anamuona ka shallow hivi, wakat atleast wana mvuto kuliko yeye

Then wana copy style ya redio wanaleta kwa tv, very poor show ina lack ubunifu
 
Back
Top Bottom