white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,618
- 13,880
- Thread starter
- #61
Kwanini huu muda mnaotumia kusema watu msiutumie kufanya mambo ya maana labda nchi itaweza kuendelea
Na wewe huu muda ulioutumia kuja kuchangia hapa, si ungeutumia kufanyia mambo ya maana, ili nchi ikaendelea!! Ndio ninyi mnaokalia kusema eti wazungu wanamambo ya kupuuzi puuzi wakati hatima ya maisha yako ipo mikononi mwao!! tafakari.