Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ha haaaa haaaaaa nimecheka mpaka nimepaliwa mkuu! ...lol
Mkuu,my wife wake akagundua,akampiga ban kuangalia CLOUDS 360
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ha haaaa haaaaaa nimecheka mpaka nimepaliwa mkuu! ...lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]NImemwachia maagizo mama ake [emoji23] [emoji23]
Hahaaaa acha kumtesa mtoto ww sipati picha unamtuma Mara ngapi kwa siku mana lile tangazo lipo kila dakikaHili tangazo limekaa kimahaba sana sijui kwa nini cokacola wameondoa lile la watoto wadogo,
Mwanangu alikuwa anaipenda kweliii ila hii sasa ikianza lazima nimtume chumbani hadi iishe ndo nimuite
We acha tu utanda upo wazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bro, yaani zama hizi mambo tuliyoyaona ni taboo now yameruhusiwa tumebak kuona aibu
Hhahahha uzuri ndo kwanza 2yrs so unavomtuma tuma ye anaona kama mnacheza tu,Hahaaaa acha kumtesa mtoto ww sipati picha unamtuma Mara ngapi kwa siku mana lile tangazo lipo kila dakika
Hichi ndo kilinifanya nikaiskip kwenye tv yanguHata taarifa ya habari ni za serikali tu utadhani ni TBC yenyewe haina mda wa kuaza
Jamaa kiboko! alimsifia kija nini mbele ya wife? 😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu,my wife wake akagundua,akampiga ban kuangalia CLOUDS 360
Siku hizi si nyimbo , matangazo na mavazi visivyohamasisha ngono....Hili tangazo limekaa kimahaba sana sijui kwa nini cokacola wameondoa lile la watoto wadogo,
Mwanangu alikuwa anaipenda kweliii ila hii sasa ikianza lazima nimtume chumbani hadi iishe ndo nimuite
Huyu ametamalaki sana hapo kutwa kuchaView attachment 461674 Na huyu ni mtangazaji wao siku hizi