Clouds TV jiongezeni kulingana na Jina lenu

Clouds TV jiongezeni kulingana na Jina lenu

Nilikuwa mpenz na mnazi wa kutupwa wa clouds tv hasa kipindi cha 360 enzi zile za Nina kija mwanzoni ila baada ya uteuzi wa kamoga kuwa mkurugenzi na wao kupigiwa simu na mkulu kila Mara imegeuka kuwa tv ya chama na kipindi kimekuwa kibovu mno maana wanahisi kila mda mkuu anawatazama saa wamegeuka kituko... siwataki tena...
Nilicheka juzi walikua wanajadiliana issue ya jamaa aliyeota Mugabe atakufa wanajiumauma tu unaona kabisa wana hamu ya kuoanisha na issue ya Lema ila wanaogopa
 
Nilicheka juzi walikua wanajadiliana issue ya jamaa aliyeota Mugabe atakufa wanajiumauma tu unaona kabisa wana hamu ya kuoanisha na issue ya Lema ila wanaogopa
ukiangalia saizi hawana wadhamini wengi kama mwanzo wafanya biashara watakua wameona udwanzi
 
chakushangaza kaka mimi nauozo wote huo huwa najikuta tu nime tune in kama wamelogezea ic
Hahaaaa! jina linawabeba ,jina lililokuzwa na redio....
Halafu pia tabia ya kusaka vipindi huko na huko unakutana na wimbo mzuri baadaye unajikuta umeganda hapo hapo kuja kushtuka tangazo la coca linarudiwa mara ya tano ndani ya dakika 10
 
Wamejikita kwenye radio zaidi.., tusubili E fm labda tv yao itakuwa poua japo nao wametawaliwa na singeri..,
 
Back
Top Bottom