assenga Jr
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 368
- 459
Wana liona katika positive wayWajinga sana, hao jamaa. Sijui kwanini wanafanya hivyo, waache mara moja. Nashangaa viongozi wapo au watawala kweli hawalioni hili?
Wana liona katika positive wayWajinga sana, hao jamaa. Sijui kwanini wanafanya hivyo, waache mara moja. Nashangaa viongozi wapo au watawala kweli hawalioni hili?
Acha jazba. Tuwekee hicho kifungu cha sheria mimi nitakuwa wa kwanza kuwaandama CMG waache kupiga wimbo wa taifa.Ndio na wewe, kwani wewe sio mtanzania nini? Umewahi kuona wimbo wa Kenya, Uganda, hata hao Rwanda mnaoiga filosofi yao inapigwa hovyo hovyo?
Mwaka 1990 ulikua unasikiliza redio gani au ulikua hujazaliwaTbc ndo kinini....!??
Oky kwahiyo kama hao tbc wanakosea ...kosa linakua halali!??
Ha ha ha ha haMbona hii anthem inaheshimika...
Ikichezwa tu unajua ni msimu fulani..
Inashangaza sana...Wajinga sana, hao jamaa. Sijui kwanini wanafanya hivyo, waache mara moja. Nashangaa viongozi wapo au watawala kweli hawalioni hili?
Acha utoto....Mwaka 1990 ulikua unasikiliza redio gani au ulikua hujazaliwa
Duh, hatari sana. Juzi Mimi nilishtuka ghafla kuna nini tena, huu wimbo na maudhui yake sijaelewa? Mwisho na sikia shishi baebi!! Duh, nulifedheheka sana. Au kwakuwa waliitwa jukwaani na Mh Rais basi washajiona ndio wanaofuatia baada ya Fulani au?Wana liona katika positive way
Kifungu cha sheria kutoka kwenye nini? Mshakariri vifungu vifungu, sio kundi tena au?Acha jazba. Tuwekee hicho kifungu cha sheria mimi nitakuwa wa kwanza kuwaandama CMG waache kupiga wimbo wa taifa.
Wewe hukwenda shule....Wamevunja sheria? Mbona hujibu? Kuna sheria inasema wimbo huo upigwe kwenye tukio fulani tu?
Kama wamekiuka wachukuliwe hatua.Kifungu cha sheria kutoka kwenye nini? Mshakariri vifungu vifungu, sio kundi tena au?
Hahhahaaaa....Wanapoupiga wanakuwa wamesimama wima na kutojishugulisha na jambo jingine hata kujikuna?
Yote yanaweza kuwa majibu. Umeshindwa hoja.Wewe hukwenda shule....
Au hata TV hutizami....
Mashuleni wimbo wa taifa huimbwa siku maalumu...tena bendera inapokua inapandishwa..
Unataka nini tena.
Wimbo unaimbwa popote, tusipangianeWewe hukwenda shule....
Au hata TV hutizami....
Mashuleni wimbo wa taifa huimbwa siku maalumu...tena bendera inapokua inapandishwa..
Unataka nini tena.
Mimi sii kichaa kuanzisha uzi huu...Ruge aliomba kufanya hivo akaruhusiwa
Sababu za kutaka wimbo wa taifa upigwe
1.kuimarisha uzalendo
2.watanzania tuujue
Na unapigwa weekdays saa moja Kamili
Binafsi sioni tatizo