Tangazo la kuomba kura na wimbo wa taifa nimevisikia pia RFA.Magufuli ni mgombea urais tu kama alivyo Maximillan LyimoHivi ni sawa kwa kituo cha radio kutumia wimbo wa taifa. Kwa matangazo. Hii nimekua nikiisikia kwenye kituo cha Clouds Fm.
Wakitumia wimbo wataifa kwenye tangazo la Magufuli