Clouds mjiandae kupita katika kipindi kigumu

Clouds mjiandae kupita katika kipindi kigumu

Clouds kabla hamjaanza kumzingua bashite hakikisheni mko safi kwa yafuatayo:

1. Mmelipa kodi zote TRA na kwa muda sahihi
2.Wafanya kazi wenu wanamikataba halisi inayoendana na kazi zao
3.makusanyo ya hifadhi za jamii yanalipwa kwa muda sahihi
NK

Msipokua safi bashite atawatumia watumishi wa Idara za serikali kuwa harass na kushindwa kutimiza azma ya kufikisha ujumbe kwa wengi

All in all nawapa bigup kwa kukata kamba
mlikua mmebeba zigo la nnyaaa
 
Kipindi kigumu hata mengi kapitia bwana

Acheni kutisha watu jamani

Madaraka yana ukomo wake msiwatishe watu wakati wameonewa kabisa

Hakuna madaraka ya milele

Clouds ipo miaka 19 sasa
Sijawatisha ila serikari ndo imewatisha, una macho na umeona labda kama hukua na mb
 
Wakati Ruge akiwa studio asubuhi leo nilimsikia mtangazaji mmoja akitoa mfano wa msemo kuwa 'ukizoeana na mbwa atakufuata msikitini', sikuelewa alikuwa anamaanisha nini! Aliyesikia na kuelewa atupe mwanga.
Clouds wameweka ukaribu uliopitiliza na baadhi ya watu imefika hatua wako huru kuingia na kutoka pasipo kufuata taratibu za ofisi yao. Kama tunavyojua kila ofisi au mahala popote pana taratibu zake zakufuata.
 
Kiukweli nawashangaa sana wanaosema Ruge kakosea kusema vile,sijui kajichimbia kaburi...

Mlitaka aharibu image ya kampuni sababu ya kumlinda 'rafiki' yake Bashite?
Mmeshajiuliza endapo Ruge angekana angeiondolea credibility kiasi gani CMG?

Naungana na Ruge na nampongeza sana,aangalie maslahi yao binafsi kama kampuni na sio unafiki.
 
hakuan mtu aliwahi kushinda vita yake akipigana na media, media siku zote huibuka kidedea. anatakiwa aufyate mkia au la, ataingizia media pesa nyingi sana kwa habari zake hadi atajuta.
Kwa kuchukulia jambo lililowakuta clouds kama udaku ina maana yupo tayari maana kama leo ni clouds kesho itakua ITV au Azam au media yoyote ile pia raia hatupo salama
 
Enyi wanaume wa Dar pamoja na machadema onyesheni ubavu kwa kuandamana kumkataa mkuu wa mkoa. Tanzania hii mbabe wa vita ni Mange Kimambi peke yake nyie wengine chips yai tu. Ingekuwa watu mnajitambua saizi mngekuwa Manzese Argentina mnaelekea Jangwani then Ikulu
Ulichokiandika kinathibitisha uwezo wako mdogo wa kufikiri, hili jambo kwa akiri yako umeona ni la watu wa Dar pekee?
Tajiri hasusiwi, Clouds wakitaka batlle na serikali watakwama - Maana ukienda kuomba kibali cha tamasha unaambiwa hali ya usalama siyo nzuri, Na hali ya usalama ikikaa sawa tutawataarifu - utasubiri miaka 5. Hiyo endorsements wanayopewa na wakuu wa mikoa na ma RPC kwenye matamasha yao pia labda ikafa kibudu. Nahisi wanaweza kupata wakati mgumu kwenye mambo yafuatayo:

.......

1.KODI


2.MATAMASHA ( Ulinzi na Usalama )

3.MAADILI ( TCRA )


4.ELIMU ya Watangazaji ( Baada ya miaka 5, [ Sheria ya Habari ] )
 
Tajiri hasusiwi, Clouds wakitaka batlle na serikali watakwama - Maana ukienda kuomba kibali cha tamasha unaambiwa hali ya usalama siyo nzuri, Na hali ya usalama ikikaa sawa tutawataarifu - utasubiri miaka 5. Hiyo endorsements wanayopewa na wakuu wa mikoa na ma RPC kwenye matamasha yao pia labda ikafa kibudu. Nahisi wanaweza kupata wakati mgumu kwenye mambo yafuatayo:

.......

1.KODI


2.MATAMASHA ( Ulinzi na Usalama )

3.MAADILI ( TCRA )


4.ELIMU ya Watangazaji ( Baada ya miaka 5, [ Sheria ya Habari ] )
Wakijipanga wanawaza japo watapoteza vingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom