manning
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 5,092
- 11,947
mlungula nahisi ulishapita kwa huyu aliyepiga faini. Mill 5 ndo utatangaza umempiga mtu faini...?akina mama ntilie na wanaopaki magari kkoo na town wanapigwa mifaini ya ajabu sembuse hawa wapbwatukaji wa baba mwanaasha.... Wasituchezee akili zetu hawa tcra ...
Hata mimi nina mashaka makubwa makubwa.