Clouds Media watozwa faini

Clouds Media watozwa faini

Ujinga mtupu mimi nilidhani ni faini ya kuwatia adabu kumbe bora hata ya faini za TFF.

Ha ha ha...Mkuu kitu muhimu hapa ni karipio kali walilopata ujue nayo ni adhabu
 
nahisi aliewalima fine ameshapewa rushwa kwanza kabla ya kutoa hiyo faini.
 
Yaani sasa ivi huku majumbani ni shiidah wakina mama wote wanataka clouds, masharouharo watoto wetu nao clouds yani mtu unashindwa hata kusikiliza vitu vya maana kwa ajili ya hiyo radio ya wakuda.......unakuta umerudi zako hom wataka sikiliza idhaa ya kiswahili ya dw afu wakina mama nao wanaskiliza sijui hekaheka.....toa sasa utakavonuniwa......
 
Ile jeuri ya watangazaji wa CLOUDS TV na Clouds radio kuzungumza wanachotaka na kama vile wako juu ya sheria vimewatokea puani kwa kutozwa faini ya jumla ya milioni tano na karipio kali.
SOURCE : ITV taarifa ya habari.

Clouds imekaa kimtazamo wa kijiwe, si media
 
Kweli hawa clouds huwa wanaongea hata matusi kabisa hewani hususani huyo jamaa adam mchomvu
 
Salsa milioni tano ni nini kwa clouds?

nina hakika ruge/kusaga alilipa immediately na libeneke litaendelea,hiyo pesa mbuzi sana kwao ulinganisha na zike wanazo kusanya kwenye onyesho moja la fiesta .ila si nina sikia arobaini yao 2015 atakapo ingia EL?.yule mzee hataki masihara,kujipendekeza wala mbwembwe za kuimbiwa happy birthday redioni kama wanavyo muimbia baba mwanaasha.
 
nina hakika ruge/kusaga alilipa immediately na libeneke litaendelea,hiyo pesa mbuzi sana kwao ulinganisha na zike wanazo kusanya kwenye onyesho moja la fiesta .ila si nina sikia arobaini yao 2015 atakapo ingia EL?.yule mzee hataki masihara,kujipendekeza wala mbwembwe za kuimbiwa happy birthday redioni kama wanavyo muimbia baba mwanaasha.
Mimi nilidhani ni mimi tu inanikera kumbe tuko wengi
 
What's 5m to Clouds? Ukweli ni kuwa Clouds is the farthest reaching media outlet in the country with the largest and most expansive listenership. Hakuna outlet nyingine inayoweza kuwafikia Clouds kwa ingenuity or creativity. Let's give credit where credit is due.Clouds oyee!
 
mlungula nahisi ulishapita kwa huyu aliyepiga faini. Mill 5 ndo utatangaza umempiga mtu faini...?akina mama ntilie na wanaopaki magari kkoo na town wanapigwa mifaini ya ajabu sembuse hawa wapbwatukaji wa baba mwanaasha.... Wasituchezee akili zetu hawa tcra ...
 
What's 5m to Clouds? Ukweli ni kuwa Clouds is the farthest reaching media outlet in the country with the largest and most expansive listenership. Hakuna outlet nyingine inayoweza kuwafikia Clouds kwa ingenuity or creativity. Let's give credit where credit is due.Clouds oyee!

wewe utakuwa mmoja wa watoa kejeri hapo clouds!!
 
Back
Top Bottom