Kileghe
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 367
- 316
Nijuavo mm hizo hela zinaenda kwenye mfuko wa serikali.Ila kisheria kama hawa mabibi waliodhalilishwa wanazitaka hizo hela wanawafungulia clouds kesi ya madai.then ikionekana cloud wana hatia wanawalipaHivi hizo pesa za Fine zinakwenda wapi ?, inabidi kama issue ni kuwazalilisha mabibi hizo pesa wawape wazee au kuwasaidia wazee wenye shida na sio kuziweka midomoni mwao... TCRA
Binafsi sikuona hicho kipindi hence siwezi kusema chochote ila si mabibi na wajukuu huwa tuna utani isije ikawa hawa jamaa wanataka kuwa too political correct; ukizingatia labda wasikilizaji wa hii redio hayo ndio mambo yao..