Clouds Media watozwa faini

Clouds Media watozwa faini

Media ya kihuni haijapata tokea dunia iumbwe name Mungu....tatizo management mbovu, recruitment policy mbovu yaani muhuni yoyote anakuwa presenter, wengi wa presenters wao ni sweet failures wameungaunga sana vi-course uchwara engine hat hivyo vokozi hawana weupe peeee! With that scenario all you get are twats from a bunch of morons.
 
Kwa sasa wanatembea nchi nzima kusambaza ukimwi wenyewe wanasema wanasambaza upendo
 
radio ya wafu,agent wa lucifa hawa,,hv mzee kusaga hakutolewa kafala kwa wajenz huru kwel,yanasambaza ngoma mtaan haya yafungiwe tu,vijana wetu wanaharibika kwel.
 
Hii media ni chanzo kikubwa cha mmomonyoko wa maadili, siku hizi inajitahdi kusambaza ukimwi na ufirauni mpaka pembezoni mwa nchi na vijijini kote ni kuifuta tu ili salama ipatikane
 
Kuna habari nimeipata kwenye mtandao lakin nimeshindwa kuielewa vizuri.

kuwa clouds media imepigwa faini.

Naomba mwenye taarifa zaidi atumwagie tupate kujua kwa kina
 
Media ya kihuni haijapata tokea dunia iumbwe name Mungu....tatizo management mbovu, recruitment policy mbovu yaani muhuni yoyote anakuwa presenter, wengi wa presenters wao ni sweet failures wameungaunga sana vi-course uchwara engine hat hivyo vokozi hawana weupe peeee! With that scenario all you get are twats from a bunch of morons.

Naona wewe mzur hatukusikii wala kukusoma popote?
 
Kwa sasa wanatembea nchi nzima kusambaza ukimwi wenyewe wanasema wanasambaza upendo

Ila Kili Music Tour ya yule Mengi haisambaz Ukimwi si ndio?
Ukimwi bara umejaa tu na usinambie vurugu lile wewe ukasex pale?
 
Hii media ni chanzo kikubwa cha mmomonyoko wa maadili, siku hizi inajitahdi kusambaza ukimwi na ufirauni mpaka pembezoni mwa nchi na vijijini kote ni kuifuta tu ili salama ipatikane

Jamii Forums wameweka Ads hapo juu Kilimajaro Music Tous inayosimamiwa na IPP ya Mengi vipi nayo inasambaza Ukimwi?
Watu mumekuwa kama manyan munacheka uchi wako!
 
Ila Kili Music Tour ya yule Mengi haisambaz Ukimwi si ndio?
Ukimwi bara umejaa tu na usinambie vurugu lile wewe ukasex pale?

Mbona unatetea sana au ni mmoja wao?hawa jamaa wanawafanya vijana wetu wawaze ujinga tu muda wote.Nchi inayoendelea kama hii haiwezi kusonga mbele kwa kuwahamasisha vijana kujihusisha na burudani.Fuatilia vizuri elimu za wanamuziki wa Bongo fleva na watangazaji wa hizi radio za FM.ndio utajua tunatengeneza Taifa la namna gani
 
Clouds FM ni kituo Bora cha 7 kati ya vituo vya radio 20 barani Afrika. Endeleeni kubwabwaja tu

Nani alipanga hiyo list?
kama ni kituo bora kwann kina utovu wa nidhamu?
hiyo record ya 7 imeisaidia nn clouds media?

au ndiyo kuwaza kimasaburi???
 
Hakuna hata mmoja hapa ni hater wa clouds fm, hater gani anajua watangazaji na majumban kwao wanafungulia hiyo radio huku wengine wanaocomment ni radio presenters wa radio stations nyingine ambazo wanaiga saut na vipindi clouds kiukweli hata unaichukia basi utakuwa unamchukia presenter mmoja na sio radio yote. Nenda google radio stations bora africa utajua ipo level gani na ww unayoichukia na kupenda TBC fm upo level gani. am out mm mwenye napenda kipindi cha njia pande basi
 
mm mwenyewe na sikiliza kipindi cha njia panda bac tatizo la clouds ni watangazaji wanamsudu sana ruge kama mungu mtu lkn redio sio mbaya
 
Najua hizo wanaweza kulipa lakini watapunguza kejeli dharau na nyodo kwenye vipindi vyao. Walikuwa wamejisahau kabisa.

MKUU hata ingekuwa faini ya laki 2, kwa taasisi sio nzuri. Kwani tayari imewashushia hadhi.
 
Back
Top Bottom