Nukta5
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,180
- 1,276
Ile show ya kushindanisha vipaji duniani inayomilikiwa na Simon Cowell imezinduliwa rasmi nchini Kenya jijini Nairobi na Waziri wa Michezo wa Kenya. Got talent ipo katika nchi 58 duniani, MD wa clouds FM Joseph Kusaga.ndipo akaiona fursa nakuamua kuwatafuta wawezeshaji wa hiko kipindi kuja africa tena East Africa.
Clouds inachonga barabara na wengine wanafuata.
Clouds inachonga barabara na wengine wanafuata.