Jamani,kayafa si aliwapatanisha yakaisha.Hujui Sheria ya Jinai wewe
Mtu Binafsi hawezi kushtaki, ni Serikali ndio Inashtaki, Mtu Binafsi atakuja kama Shahidi Tu
Hao Clouds hawana Uwezo kisheria Kumshtaki Bashite, atashtakiwa na Serikali na wao watakuja Kama Mashahidi Tu.
Huyo Sam Kilaza Hana anachojua.
Kama alivyofanywa Jangili Sabaya.
Jua Serikali Ikimshtaki hachomoki
Na Clouds watakuja Kutoa ushahidi
Yule ni undercover,Atakamatwa mufa ukifika. Jinai haina ukomo.
Wewe unasoma kurudi nyuma?.Utetezi wenu una maana ipi, kabla ya kwenda mbali, au mna maanisha kilichofanywa ni halali? Majibu tasafali, kabla mambo hayajawa mengi.
Huo mufa sasa....Atakamatwa mufa ukifika. Jinai haina ukomo.
We ni nani mpaka uwe na uchungu na Clouds!!? p.a.a.m.b.a.fff!Utetezi wenu una maana ipi, kabla ya kwenda mbali, au mna maanisha kilichofanywa ni halali? Majibu tasafali, kabla mambo hayajawa mengi.
Kabisa anaogopa kutengeneza bifu na wanasiasaKusaga hawezi kumshtaki Makonda!
Bashite anatisha snLazima wajilinde maana linaweza kuwaangukia...haijulikani Mama yupo upande upi kwa suala la hiki kiumbe 😆😆😆
Bashite anaatishaKusaga hawezi kumshtaki Makonda!
Wewe ulikuwa chawa wake, unajua kama uchawa umepigwa marufuku?We ni nani mpaka uwe na uchungu na Clouds!!? p.a.a.m.b.a.fff!
Mama na uyo jamaa ni mtu na mwanaeLazima wajilinde maana linaweza kuwaangukia...haijulikani Mama yupo upande upi kwa suala la hiki kiumbe 😆😆😆
Wewe hata si mtumishi wa CMG umeyajuaje ya CMG??Yaani CMG imeshuka Kiwango hivi mpaka Mtu kama Mtangazaji wa hovyo hovyo Samuel Nathaniel Sasali ndiyo anakuwa Msemaji wao wa Mambo muhimu kama haya na ambayo yanahitaji Upeo mkubwa ambao bahati mbaya sana hana katika Kuyakabili?
Hata Jangili Sabaya alikuwa anajifanya andakavaYule ni undercover,