Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,738
- 15,208
Mtangazaji Mwandamizi wa Kituo cha Clouds Media Sam Sasally Amesema Kuwa Kituo Cha Clouds Hakihusiki na Taarifa zilizosambazwa Kwenda Kumshtaki Mahakamani Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw PAUL MAKONDA
Akichambua Taarifa Iliyoandikwa Katika Gazeti la RAIA MWEMA Inayosema Wakili wa Kujitegemea Amepanga Kwenda Kufungua shauri Mahakamani Kuhusu Paul Makonda Kutokana na Sakata lake la Kuvamia kituo Cha Clouds Media akiwa na silaha, pia matumizi mabaya ya Madaraka
Sam Sasally Amesema Clouds Media Haihusiki na Taarifa hizo na Haitahusika Bali ni matakwa yake mwanasheria huyo.
My take.
Huyu mwanasheria uchwara anatafuta kiki kupitia jina la Makonda baada ya kutumwa na magaidi yaliyoharibiwa biashara ya dawa za kulevya na Makonda.
Akichambua Taarifa Iliyoandikwa Katika Gazeti la RAIA MWEMA Inayosema Wakili wa Kujitegemea Amepanga Kwenda Kufungua shauri Mahakamani Kuhusu Paul Makonda Kutokana na Sakata lake la Kuvamia kituo Cha Clouds Media akiwa na silaha, pia matumizi mabaya ya Madaraka
Sam Sasally Amesema Clouds Media Haihusiki na Taarifa hizo na Haitahusika Bali ni matakwa yake mwanasheria huyo.
My take.
Huyu mwanasheria uchwara anatafuta kiki kupitia jina la Makonda baada ya kutumwa na magaidi yaliyoharibiwa biashara ya dawa za kulevya na Makonda.