Nimefungulia radio na kumsikia Kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi juu ya polisi kumkamata Lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi CLOUDS FM kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.
Nimefungulia radio na kumsikia Kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi juu ya polisi kumkamata Lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi CLOUDS FM kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.
Kama Radio na mitandao ya kijamii imeruhusu hii clip ya Lwakatare kuwa hewani nafikiri hata CHADEMA nao warushe hewani video ya mauaji ya Daudi Mwangosim kwa ku-edit na kurusha zile sehemu ambazo haziwezi kumdhalilisha mhusika.Mitandao iko mingi ni swala la kuongea na wamiliki wa hiyo mitandao ili hiyo video nayenyewe iwe public mradi tu isikiuke kanuni na taratibu kwa kuonyesha sehemu zisizofaa.
Siyo CHADEMA tu hata yoyote anaemiliki hiyo video nae aiweke hewani kwenye mitandao ya kijamii kwani iko mingi tu.
Safi sana,na ngoja iwekwe ITV kabisa ili watanzania wajue ukweli,wauaji wakubwa hawa. Wameenda kumua kijana wa morogoro,wamemtia kilema kijana wa igunga na sasa wamemtoa jicho kibanda