Bado hiyo thread ni utata, "
Jaydee aliwasili mahakamani hapo akiwa na mumewe Gadner G. Habash mishale ya saa 6 mchana na kuongoza moja kwa moja chumba cha makarani wa mahakama hiyo ambao aliwakabidhi hati ya mashitaka hayo".
Sasa swali linakuja yeye kafunguliwa kesi then yeye mwenyewe akakabidhi hati ya mashtaka inakuwaje hapo?
La pili
"Tuhuma za kesi hiyo zinatarajiwa kusomwa mahakamani hapo na Hakimu ,Athuman Nyamrani Mei 27 mwaka huu".
Katika kesi za madai tuhuma huwa hazisomwi mahakamani labda km kesi ni ya jinai, kwa faida ya wengine kesi za madai huwasilishwa mahakamani kwa kutumia hati ya madai(PLAINT), Baada ya kuwasilishwa WITO hutolewa na mahakama kwa mdaiwa na unaweza kuwa wito wa kufika mahakamani au wito wa kujibu madai.
Na kama ni wa kufika mahakamani basi akifika atapewa hati ya madai iliyowasilishwa na atapewa siku 21 za kuwasilisha majibu ya mdai baada ya hapo kesi itaendelea kwa hatua zingine km vile pre-trial conference ambapo ktk hatua hii nyaraka zote za kesi zinakuwa zimekamilika,hakuna nyongeza,mashahidi wangapi kila pande inategemea kuwaita,na ndio wanapanga kesi itachukua muda gani kumalizika then itafuata mediation ikishindikana wanaenda katika full hearing. Hakuna kusomewa hati ya mashtaka!
Jaydee aliwasili mahakamani hapo akiwa na mumewe Gadner G. Habash mishale ya saa 6 mchana na kuongoza moja kwa moja chumba cha makarani wa mahakama hiyo ambao aliwakabidhi hati ya mashitaka hayo".
Sasa swali linakuja yeye kafunguliwa kesi then yeye mwenyewe akakabidhi hati ya mashtaka inakuwaje hapo?
La pili
"Tuhuma za kesi hiyo zinatarajiwa kusomwa mahakamani hapo na Hakimu ,Athuman Nyamrani Mei 27 mwaka huu".
Katika kesi za madai tuhuma huwa hazisomwi mahakamani labda km kesi ni ya jinai, kwa faida ya wengine kesi za madai huwasilishwa mahakamani kwa kutumia hati ya madai(PLAINT), Baada ya kuwasilishwa WITO hutolewa na mahakama kwa mdaiwa na unaweza kuwa wito wa kufika mahakamani au wito wa kujibu madai.
Na kama ni wa kufika mahakamani basi akifika atapewa hati ya madai iliyowasilishwa na atapewa siku 21 za kuwasilisha majibu ya mdai baada ya hapo kesi itaendelea kwa hatua zingine km vile pre-trial conference ambapo ktk hatua hii nyaraka zote za kesi zinakuwa zimekamilika,hakuna nyongeza,mashahidi wangapi kila pande inategemea kuwaita,na ndio wanapanga kesi itachukua muda gani kumalizika then itafuata mediation ikishindikana wanaenda katika full hearing. Hakuna kusomewa hati ya mashtaka!