Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,733
- 7,667
"Vision yetu ilikuwa ni kuhakikisha Clouds Fm usikivu wake unasikika pakubwa nchi nzima la pili kuhakikisha East Africa tunaipiga tumeashaanza kupata leseni tulipata tatizo moja tu Kenya kuna rafiki yangu ambaye alikuwa akija hapa anashangaa nilifanya kosa la kumwambia kuwa siku nikiingia Kenya nipe wiki mbili nitakutoa akaenda huko aka-register kila kitu cha Clouds kuanzia Clouds FM, CloudsTV, Primetime, Fiesta kwa hiyo kwa Kenya tutaingia kwa kusajili kwa jina jingine"
.
. "Lakini nchi zingine tumeshafanya usajili kabla ya mwaka huu kuisha tunagetemea kuwepo kwenye nchi moja au mbili" MD Joseph kusaga
Wasafi Media Clouds Siyo Level Zenu Clouds Wapo Next Level, Jitahidini kwanza mfikie Level za E Digtal ndo Mjipambanishe na Clouds Media..
.
. "Lakini nchi zingine tumeshafanya usajili kabla ya mwaka huu kuisha tunagetemea kuwepo kwenye nchi moja au mbili" MD Joseph kusaga
Wasafi Media Clouds Siyo Level Zenu Clouds Wapo Next Level, Jitahidini kwanza mfikie Level za E Digtal ndo Mjipambanishe na Clouds Media..