Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,799
Jana nilichelewa kidogo kulala, nilikuwa nikisoma novel huku nikisikiliza clouds fm.
Mida ya saa sita kipindi kilianza , mwanamke na mwanaume walikuwa wanaongea NGONO hadharani.
Watu walikuwa wakipiga simu na kutuma msg kuchangia.
Walikuwa wakiongelea namna ya kusugua mayai na soseji kwa mswaki, kuweka vimawe kwenye mbunye ili kuongeza utamu wa tukio.
Jamani, hivi kuongea hayo maneno mazito hadharani sio kukiuka masharti ya tume ya utangazaji na mawasiliano/
Mida ya saa sita kipindi kilianza , mwanamke na mwanaume walikuwa wanaongea NGONO hadharani.
Watu walikuwa wakipiga simu na kutuma msg kuchangia.
Walikuwa wakiongelea namna ya kusugua mayai na soseji kwa mswaki, kuweka vimawe kwenye mbunye ili kuongeza utamu wa tukio.
Jamani, hivi kuongea hayo maneno mazito hadharani sio kukiuka masharti ya tume ya utangazaji na mawasiliano/