Nimeangalia hata usomaji wao wa magazeti wanaegemea upande wa habari zinzoisifu ccm na kuponda ukawa.
Kama chombo cha habari wanatakiwa kuwa makini vinginevyo inaweza kuwagharimu.
Hiyo kazi wawachie tbc.
Wakuu Radio CloudsFM ina promo ya tangazo lao la kipindi chao kipya kuhusu siasa kuelekea uchaguzi mkuu.
Kwenye tangazo lao la kipindi hicho kipya wameweka sauti ya Magufuli akiongea kwa zaidi ya sekunde kumi akisema "maendeleo ya kweli yatatoka kwenye kiongozi anayetoka CCM"
Alafu naweka sauti ya Lowassa anasema "Peopleees zungusha zungusha"
Moya kwa moja promo hii ni kampeni ya kwa CCM maana mgombea wake ana nadi sera za chama au kujipigia debe, kama wako huru na siyo kampeni kwa ccm , walipaswa kuweka sauti ya Magufuli akisema "CCM oyeee" ili kuendana na anachozungumza Lowassa kwani Lowassa anatoa salamu ya chama na Magufuli ana nadi sera za chama.
Hili ndilo bao la mkono alilosema Nape.
Acha Uongo Na Unafiki Clouds Wanatangaza Headng Olmxt Zote Za Lowassa Za Maguful Zote,nyie Mnasema Hawapo Fair Lakini Gazet La Leo La Tanzania daima Kuandika "Kamati Ya Watu 32 Iliyoundwa Na Ccm Ni Ya Kumtukana Lowassa" Mnaona Hyo Heading Ipo Fair Kabisa Hamtaki Hata Kuiongelea!!
CHADEMA walifatilie ili suala haraka nimelisikia hilo tangazo lipo kimkakati kabisaaaaa...japo mwaka huu wananchi tumeamua si chombo cha habari wala chombo kingine kitakachoingilia maamuzi ya wananchi.
Mkuu hawa clouds ni tofauti na tanzania daima pia tofauti na uhuru haya magazeti yanajulikana.uhuru la chama kama tanzania daima linjulikana kwamba huwezi kuta limeandika habari ya kuiponda cdm.
Naamini kwamba clouds huwa wanasoma magatezi na kufanya uchambuz,
utawajua rangi zao halisi wanapofanya uchambuzi
Mimi nawaonya kama wanapita humu wajitahidi kubalance habari zao. Vinginevyo watakuwa kama tbc.
Mimi si sikilizi clouds wiki tatu sasa na wewe je
ICC? Mbona hawamgusi Putin.Acheni uoga.
Hivi mbona naona ni vitu vidogo sana
Sio tu bongo., hadi ng'ambo hakuna uhuru wa habari.,,.,,Hakuna media iliyohuru Na tutegemee zaidi ya hapo wakati wa kampeni.Kuna vyama havitapewa muda kwenye media na hasa TBC1.
Mwenye Clouds ni mwanacha.a wa CCM sitgemei afanye tofauti na hicho alichokifanya.
una2mia kipimo gani kujua udogo/ukubwa wa kitu?..........