Kig
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 1,079
- 468
afu mtoa uzi hujaelewa kitu. lady jay dee aliomba mwenyewe sauti yake,jina lake au nyimbo zake zisikike clouds. sasa hapo clouds wana kosa lipi.?
Mengine sijui
kwa hiyo wanapo mute sauti ya Jay Dee wanamkomoa nani? Jay Dee au wasikilizaji wa huo wimbo na wasikilizaji wa hiyo radio?. Kwa mtazamo wangu wanawakomoa wasikilizaji na sio JAy Dee. Na bila shaka huyo Jay hata hii radio haisikilizi kabisa. kimsingi clouds lazima wajitafakari ili ugomvi wao na Jay Dee usiathiri wasikilizaji wa radio yao. Mimi kama msikilizaji wa hii radio nahitaji kupata full burudani sio hapa sauti inatoka pale una mute, unanimutia msikilizaji wako kwani mimi nimekukosea nini. Kwani kama clouds ina mgogoro na Jay Dee basi huo mgogoro na wasikilizaji wa hiyo radio lazima waathirike? Ndio maana clouds inalaumiwa kuwa kuna mambo ya kitoto. Maana wao wanamfikiria mtu mmoja tu Jay Dee, badala ya kufikiria wasikilizaji wa radio ambao ndio wanafanya radio iwe hapo ilipofikia.