Clouds 360: Taarifa za mitandaoni Yericko Nyerere na William Melecela

Clouds 360: Taarifa za mitandaoni Yericko Nyerere na William Melecela

Wewe unajifanya mtoto wa nani Lowassa au Mbowe?

Bahati nzuri JF nipo muda kabla ya hii ID ya Ritz nakujua vizuri sana wewe adui mkubwa wa Waislam siku hizi naona upenguza chuki zako.

Ulikuwa na wenzako Maxshimba, Rev Masanilo kazi yenu ilikuwa kukashifu Uislam tu JF ulikuwa uwanja wenu wakutukana Waislam.

Takuwekea matusi yako humu watu wakusome.
Ritz mambo ya kwenye jukwaa la dini ndio uneyaqeka moyoni?
Kule watu wanabishana kuhusu na mimi sijawahi kuwa na msimamo mkali kama kina maxshimba.
Mmna watu tulikuwa tunabishana kwa hoja bila matusi na ilikuwa katika hali ya kueleweshana. Na mbona wale tuliokuwa tunabishana nao tulikuwa hatuwatukanii wazazi wao vile vile nao walikuwa hawatutukanii mama zetu?
Kama wewe ni mkongwe hivyi inabidi uache hii tabia ya kutukana mama za wenzako.
Sidhani kama utatukana tena .
 
Hujui matusi ambayo uwa kaishanitukana huyo jamaa yako bora ungekaa kimya mbona wewe sijawahi kukushambulia?


dah mkuu hakuna recorded video nkaona ..? hahaha
 
Baada ya hapo nimemsikia Lemutuz kwenye redio na diva anasema ametoka cloudstv kumuadhibu Yericko. Ila chadema wajipange eti yeriko ndio think tank.


hehehehe yericko ndio think tank ya CDM... Hhahahahaha
 
hehehehe yericko ndio think tank ya CDM... Hhahahahaha

yan pale hamna kitu,yan ndo walewale wakina msigwa kushndana na polepole.ukawa mihemko sana kama wamemwagiwa maji ya moto hawatulii wakajenga hoja kabisa.yan waliyebak nae ni mnyika tu.
 
Ritz mambo ya kwenye jukwaa la dini ndio uneyaqeka moyoni?
Kule watu wanabishana kuhusu na mimi sijawahi kuwa na msimamo mkali kama kina maxshimba.
Mmna watu tulikuwa tunabishana kwa hoja bila matusi na ilikuwa katika hali ya kueleweshana. Na mbona wale tuliokuwa tunabishana nao tulikuwa hatuwatukanii wazazi wao vile vile nao walikuwa hawatutukanii mama zetu?
Kama wewe ni mkongwe hivyi inabidi uache hii tabia ya kutukana mama za wenzako.
Sidhani kama utatukana tena .

Mkuu, sameheaneni!

Umemweleza yanayo kuudhi hasa kama alikutukania mama yako, naamini Ritz ni mtu muungwana sana, na kama alifanya hivyo kwa bahati mbaya, basi ataacha! Na kwa maelezo yake ukiyasoma vyema, inaonyesha hakutukana ama hakutukana kwa makusudi!

Lakini pia, lazima pia ni vyema tujitahidi kuheshimu imani za watu wengine kwani naye Ritz kwa upande wake inaonyesha ulimkwaza na aliweka kinyongo juu yako!
 
Wewe unajifanya mtoto wa nani Lowassa au Mbowe?

Bahati nzuri JF nipo muda kabla ya hii ID ya Ritz nakujua vizuri sana wewe adui mkubwa wa Waislam siku hizi naona upenguza chuki zako.

Ulikuwa na wenzako Maxshimba, Rev Masanilo kazi yenu ilikuwa kukashifu Uislam tu JF ulikuwa uwanja wenu wakutukana Waislam.

Takuwekea matusi yako humu watu wakusome.


Mkuu Ritz, una heshima kubwa hapa jukwaani naomba sameheaneni na mshikaji Saint Ivuga!

Haina haja ya kuleta mafaili ya nyuma juu ya nani alifanyaje ili kuthibitisha chochote! Nadhani atakuelewa wapi alikukukwaza na wewe ulimkwaza wapi! Fanya yamekwisha muungwana!
 
Wewe unajifanya mtoto wa nani Lowassa au Mbowe?

Bahati nzuri JF nipo muda kabla ya hii ID ya Ritz nakujua vizuri sana wewe adui mkubwa wa Waislam siku hizi naona upenguza chuki zako.

Ulikuwa na wenzako Maxshimba, Rev Masanilo kazi yenu ilikuwa kukashifu Uislam tu JF ulikuwa uwanja wenu wakutukana Waislam.

Takuwekea matusi yako humu watu wakusome.

acha kutisha watu bana
 
Mkuu, sameheaneni!

Umemweleza yanayo kuudhi hasa kama alikutukania mama yako, naamini Ritz ni mtu muungwana sana, na kama alifanya hivyo kwa bahati mbaya, basi ataacha! Na kwa maelezo yake ukiyasoma vyema, inaonyesha hakutukana ama hakutukana kwa makusudi!

Lakini pia, lazima pia ni vyema tujitahidi kuheshimu imani za watu wengine kwani naye Ritz kwa upande wake inaonyesha ulimkwaza na aliweka kinyongo juu yako!

huyu Ritz mnafiki tu na ni bingwa wa kutukana dini za wengine
 
They both have one thing in common. Ni watoto wa nyumba ndogo za wakuu. Ndio maana wanaongea sana.
Mmoja ni mtoto wa mchepuko wa Nyerere na mwingine ni mtoto wa mchepuko wa Malecela
Ila Nyerere na Malecela wana damu kali, Lemutuz na Yericko wamefanana na baba zao kama copyright.

The Mockingjay,

Kuwa mstaarabu, Yericko hana uhusiano wowote na hayati mwl Nyerere. Huyo kijana anatumia jina hilo kisiasa tu, yeye mwenyewe alikiri hivyo humu JF.
 
Last edited by a moderator:
kwa uwezo wa kujenga hoja wa le mutuz si wa kuwekwa meza moja ya majadiliano na yericko... sababu le mutuz ni akili kubwa
 
Suala la Dr Wilmihogo Slaa limetokana na Watawala kuzima haki na kuhatarisha amani kwa gharama za wavuja jasho wapenda mabadiliko!!Kwetu sisi wapumbavu,malofa na mbumbumbu mmoja anashuka elfu moja wanapanda speed 240 non stop!

slaa na mwanaye yericho ni watu wa hovyo sana bado ben saanane na kigugumizi chake
 
The Mockingjay,

Kuwa mstaarabu, Yericko hana uhusiano wowote na hayati mwl Nyerere. Huyo kijana anatumia jina hilo kisiasa tu, yeye mwenyewe alikiri hivyo humu JF.

Ya kweli haya?? Ila kaaibisha jana
 
Last edited by a moderator:
Ritz siku ileulipomtukana mama yangu mimi niliandika kuwa naskia rizone alipokamatwa china lau masha alificha mgada yote akijua jamaa hatarudi. Sasa wewe hapo kilikuuma nini hadi kunitukania mama yangu aisee, hadi siku hizi kuja JF nakuja tu basi ila naumia

Pole sana! Huwa nashauri kama unanitukana nitukane mimi niliyekinukisha sio mtu mwingine asiyehusika ...nina imagine kama mpo pamoja hali ya hewa inaweza kubadilika ghafla.
 
Back
Top Bottom