Yani Mimi ameniudhunisha sana....sikutegemea kama ndo yeye anayeandika hapa jf Uzi mpka vichwa vinauma. Kumbe live ndo yule? Na pamoja nakusoma kwake siamini kama anaweza ongea sentensi 3 za English. Kiswahili tu shida. Inabidi ajisafishe....Hivi kweli huyu Yericko ndo mmoja wa think tank wa chadema humu jf?? mamaaaaa eeeeeeeeeh!!!
SIAMINI. Au kuna Yericko mwingine??
Hujui matusi ambayo uwa kaishanitukana huyo jamaa yako bora ungekaa kimya mbona wewe sijawahi kukushambulia?Pole sana I can feel it, nimetoka kumsema hilo hilo sijui kwanini anapenda kutukania watu mama zao bila kujua kuwa wengine wamefiwa na kufanya hivyo anawaumiza
Mimi na Ridhwani wapi na wapi mimi ni Ritz wa JF sina uhusiano wowote na Ridhwani, wewe ukinituka lazima nikujibu ndiyo utaratibu wangu.Riz na matusi yako eti mtu akimponda rizione unajifanya unatukana wazazi wake ili tukuone wewe ndio rizione, rizi one hana matusi kama ya kwako. Dogo yuko poa watu tunamjua toka udsm. Ila wewe dogo hapa unajishaua shaua ili watu wajue wewe ndio rizione.
Mkuu hivi ulitegemea kitu kutoka kwa Yericko, AhahahahahahahaNlidhan yericko ana madini kichwani, kaumbuka cloudstv
Tafuadhal Mkuu Chama Chetu Kiache Dili Na Mtu Wako...Hata Darasan Mwalimu Hafundish Matusi Lakn Kuna Wanafunz Wanatukana Utasema Mwl Ndo Kawafundisha?
Mkuu hivi ulitegemea kitu kutoka kwa Yericko, Ahahahahahahaha
Yericko Kajawa Mihemko Yan Hajatulia Kichwan Hata Kimuonekano Utadhan Kakalia Jiko La Ges
Kijana wa Mbowe ndiyo wanamkubali pale Ufipa kwenye mitandao.Yaani sikuwa namfaham nkajua ni intelijensia daah aseee..
Sijawahi kutukana dini yako. Na nenda kwenye ile thread ya Lau alivyokamatwa na polisi ndio kuna yale matusi yako.Angalia ulivyopunguani natumia simu tu hapa taweka ulichoandika mimi nilichofanya kukujibu tu wala sikumtukana mama yako nilijibu matusi yako kwangu vuta subira taweka post yako, halafu achilia mbali hiyo mara kibao tu unanishambulia napuuza wakati mwingine unanitukania mpaka dini yangu.
Kijana wa Mbowe ndiyo wanamkubali pale Ufipa kwenye mitandao.
Nilijua utakua upande wake nyangumi
Yericko Nyerere Kilaza Ndomana Hata Lissu Alimwambia Aache Utoto Kajawa Mihemko Tu Af Eti Ndo Anategemewa Mtandaon.Af Majembe Ya Ukawa Bhana.
Wewe unajifanya mtoto wa nani Lowassa au Mbowe?Sijawahi kutukana dini yako. Na nenda kwenye ile thread ya Lau alivyokamatwa na polisi ndio kuna yale matusi yako.
Ritz hata kwenye hii thread umetoka tu kumtukana mama wa mshkaji hapo juu. Maana yake ni kuwa wewe jamaa umezoea sana hii tabia japo sio nzuri. Na inawezekana hakuna mtu hapa JF ambaye ameshawahi kumtukana mzazi wako.
Tatizo wewe unajifanya sana mtoto wa JK.