Daud na goliati!!!!
Amani na haki ni lazima vipatikane hata kwa ncha ya upanga!..Kama watawala wanataka amani basi wawe wepesi kutoa haki,haki haiombwi na kama itacheleweshwa itachukuliwa kwa nguvu!
Ndugu yangu kujificha chumbani na laptop huku unawatukana kina Zitto rahisi sana lakini mbele za watu ngumu.Yericko Vp Mbna Hajui Kujenga Hoja
Yericko acha pupa toa hoja zako taratibu...inaonekana una vitu vingi ila jinsi ya kuvitoa ndo tatizo. Inabdi ujifunze jinsi ya kujadili mbele za watu....
yericko ananiangushaa
Teh teh teh!!!Yericko Ilo jina LA nyerere hutoe...nilikua sijawahi kukuona ukiongea. Huwezi kusimamia kwa chochote, huna point wala hoja. Kwanza unaonekana Mtoto na bado hujakuwa. Na Yale unayoandika uwa unatumiwa tu