Clouds 360: Taarifa za mitandaoni Yericko Nyerere na William Melecela

Clouds 360: Taarifa za mitandaoni Yericko Nyerere na William Melecela

Huyu mtoto wa malecela ni mzee lakini anajifanya kijana. Na huyu Yericko nae ajirekebishe, ana sifa za kitoto sana. Anajiita nabii wa mitandao. Pah!!
 
Teh Teh hii picha imenichekesha sana naona yericko kavaa hear phone maalum....mzee wa Urusi mwana intelijensia wa chadema....

Cc Ritz njiwa Lizaboni

Mkuu yaani we acha tu hiyo picha ukilinganisha na topic zake za udukuzi jinsi alivyokaichambua ikulu na kuonekana ilipo sio salama na ukijumlisha mambo aliyotufanyia jana pale mawinguni yaani nabaki hoi kwa kicheko.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu yaani we acha tu hiyo picha ukilinganisha na topic zake za udukuzi jinsi alivyokaichambua ikulu na kuonekana ilipo sio salama na ukijumlisha mambo aliyotufanyia jana pale mawinguni yaani nabaki hoi kwa kicheko.
Jamaa mjanja mjanja fulani lakini kwenye hiyo picha nimecheka sana...huyu jamaa ni tapeli kabisa hata ukimuangalia...
 
Huko instagram kwenye page ya le mutuz kamtupia madongo mpaka nimeona aibu. Afu wachangiaji wa bavicha nao wamekua wakali wanajifanya hawamjui wakati ndio anaifanya chadema ifike hapa ilipo kwa intelligensia zake.
 
Tatizo lako wewe muongo sana wewe ulianza kunishambulia hivi na kejeli zako kwangu.

Mimi nikakujibu hivi...

Halafu wewe unaanza kulalamika wakati wewe ulianza kunivunjia heshima.
Kumbe jamaa ndio alianza kukuletea dharau
 
Jamani hivi hakuna mahali mtandaoni wameweka video ya huo mjadala
Natamani ningeusikiliza
Kama ipo link
 
Back
Top Bottom