Clouds 360: Taarifa za mitandaoni Yericko Nyerere na William Melecela

Clouds 360: Taarifa za mitandaoni Yericko Nyerere na William Melecela

The Tomorrow People

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
2,690
Reaction score
2,858
Leo mada ni taarifa za mitandaoni

Malecela: Nina source nyingi za information, kabla ya yeriko... Habari za siasa sio za siri sana

Malecela: siamini kama mitandao itavuluga amani... Kwa sababu watu wengi hawaifuatilii hasa wa vijijini

Malecela: chadema wamekuwa ni watumiaji wa social media lakini haikuwahi kuwapa madaraka.

Malecela: kwenye siasa... Kuna fear tactics... Unaweka woga ili mtawala uogope which is not true...

Yeriko: mitandao ya kijamii inanguvu sana, hata chadema tumepata nguvu nyingi kupitia mitandao.

Yeriko: Amani haiwezi kupatikama kama hakuna haki.

Yeriko: Chadema haija chukua fisadi.... Imechukua wasafi, wachafu wamebaki huku huko

Yeriko: Amani ya nchi hii haitavunjwa na mitandao ya kijamii, watanzania waelewe mitandao imukuja kwa ajiri ipi.
 
Lemutuz... Nina source nyingi za information, kabla ya yeriko... Habari za siasa sio za siri sana
 
Sawa napenda alipoanzia lemutuzi lakini najua Yericko Nyerere namuelewa zaidi
 
Lemutuz : siamini kama mitandao itavuluga amani... Kwa sababu watu wengi hawaifuatilii hasa wa vijijini
 
Le mutuz chadema wamekuwa ni watumiaji wa social media lakini haikuwahi kuwapa madaraka.
 
Amependeza nini sasa maana ashazoea mashat yake ya drafti kayakariri kweli kweli
 
Yericko acha pupa toa hoja zako taratibu...inaonekana una vitu vingi ila jinsi ya kuvitoa ndo tatizo. Inabdi ujifunze jinsi ya kujadili mbele za watu....
 
Yeriko: mitandao ya kijamii inanguvu sana, hata chadema tumepata nguvu nyingi kupitia mitandao.
 
Lemutuz : kwenye siasa... Kuna fear tactics... Unaweka woga ili mtawala uogope which is not true...
 
Yeriko : Chadema haija chukua fisadi.... Imechukua wasafi, wachafu wamebaki huku huko
 
Back
Top Bottom