Clouds 360: Taarifa za mitandaoni Yericko Nyerere na William Melecela

Clouds 360: Taarifa za mitandaoni Yericko Nyerere na William Melecela

Tatizo lako wewe muongo sana wewe ulianza kunishambulia hivi na kejeli zako kwangu.

Mimi nikakujibu hivi...

Halafu wewe unaanza kulalamika wakati wewe ulianza kunivunjia heshima.
Hukujibu hivyo. Nenda ka quote vizuri
 
Hukujibu hivyo. Nenda ka quote vizuri
Wewe ndiyo weka majibu yangu niliyokutukana hapa si yapo kwenye posts zako.

Na wewe haya maneno ya poda nimekusingizia?

Unajua nyinyi pro-Chadema uwa mnaanza kuwashambulia wenzenu lakini mkijibiwa mnaanza kulalamika.
 
Wewe ndiyo weka majibu yangu niliyokutukana hapa si yapo kwenye posts zako.

Na wewe haya maneno ya poda nimekusingizia?

Sasa kwani wewe ndio Ridhiwani? Si ushasema jana kuwa wewe sio Ridhiwan? Na mimi kukuandikia vile nilijua kabisa kuwa wewe sio rz1.
Unadhani angekuwa riz mwenyewe ningemuandikia vile?
 
Sasa kwani wewe ndio Ridhiwani? Si ushasema jana kuwa wewe sio Ridhiwan? Na mimi kukuandikia vile nilijua kabisa kuwa wewe sio rz1.
Unadhani angekuwa riz mwenyewe ningemuandikia vile?
Wapi umetaja Ridhiwani?

Nimeweka qoute yako kwangu unaniambia mimi ungeandika pembeni wala mimi nisingekujibu.


Unaniletea dharau halafu unaleta utoto wewe punguani kweli.

Nimejitahidi kukujibu kistaraabu sana lakini naona hautaki huo ustaraabu majibu takayokujibu vumulia au utakimbilia kwa Mods.
 
Thank you Cloudstv kwa kipindi chenu 360, nimefurahi kujumuika nanyi, ombi langu ikiwapendeza nitafutieni mwingine mwenye akili toka ccm
 
Yericko hata ukimuuliza sababu ya kushabikia chadema hajui atakuambia anafuata mkumbo tu.......

Sijui maana ya mkumbo nini? Ukiwa na mawazo tofauti na CCM ni mkumbo hee lkn Ukiwa upande mmoja ni nini mnieleze?
 
Thank you Cloudstv kwa kipindi chenu 360, nimefurahi kujumuika nanyi, ombi langu ikiwapendeza nitafutieni mwingine mwenye akili toka ccm

hahahahaha! kwa hiyo yule wa jana amekushinda?
Jana LE MUTUZ alikuacha sana ila ungetulia kama alivyo tulia yeye katika kujibu maswali Le Mutuz angemshinda. jana pia umetoka sana nje ya mada nina wasi wasi labda ulikuwa hukujiandaa au ulimdharau Le Mutuz.SIKU NYINGINE UJIPANGE MKUU
 
Thank you Cloudstv kwa kipindi chenu 360, nimefurahi kujumuika nanyi, ombi langu ikiwapendeza nitafutieni mwingine mwenye akili toka ccm

We Le Mutuz Umemshindwa Unamtaka Mwngne Mwenye Akili Yupi?Lizaboni Au Jingalao Au Mr.Chin Maana Hao Ndo Atlst Au Tukuletee Juliana Shonza?
 
We Le Mutuz Umemshindwa Unamtaka Mwngne Mwenye Akili Yupi?Lizaboni Au Jingalao Au Mr.Chin Maana Hao Ndo Atlst Au Tukuletee Juliana Shonza?

- Duh page 8 bila hata kutia neno? Ndio maana ya Big Celebrity ila I am too busy tutaonana baada ya uchaguzi tuykutane tarehe 25/10/2015 okee!!

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom