Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Mkuu sio kweli. Dozi 265,000 tuu.
we waona ndogo eee?
Mkuu sio kweli. Dozi 265,000 tuu.
Njia nzuri ya kupungua ni kupata stress ya kumegewa mke/ mme na pesa kuwa ngumu maishani mwako sambamba. Na matatizo yanayoitaji pesa yakikuandama
kuharisha kuna Kata Sana weight
Asante mkuu ila naomba niulize swali,je ukuishamaliza hizo sikun 9 tuseme ukapungua vizuri tu,unatakiwa uendelee na dozi ili mwili upate viini lishe au ukiishapona basi,isije ikawa kama habari za viagra na nguvu za kiume.Ni kweli mazoezi ndio njia moja wapo ya kupunguza uzito, na hata katika program ya clean 9 pia unafanya zoezi lolote kama kutembea, kukimbia au hata kuogelea kwa dakika 20 tuu kila siku kwa siku zote tisa. Ni sawa sawa na kuwa mchezaji mzuri unafanya mazoezi kila siku, lakini kama huli vizuri ni bure kabisa.
Ni kwamba mazoezi peke yake hayakupunguzishi uzito kama huwezi kuupa mwili virutubisho sahihi. Ndio ile unaacha zoezi unarudi kule ulipokuwa mwanzo. Na kwa jinsi tulivyo katika dunia hii ni vigumu sana kula vitu vyote vinavyotupa lishe sahihi kwa wakati moja kwa virutubisho mwili unaohitaji. Hapo ndipo Clean 9 inapokuja.
Hii program inakufanya utumie lishe hii kwa siku tisa, na hii lishe inakwenda kusaidia viungo vyako vya ndani, kama kusafisha figo, inni, kuhakikisha mwili una lishe zote zinazohitajika, kwasababu mwili ukipata kila kitu automatic mwili unaanza kutoa hizo extra fats. Hii sio dawa ya kula ukaaharisha hapana.. Hii ni lishe itakayosababisha mwili uchome mafuta ya ziada kwasababu kwa siku hizo tisa mwili utapewa lishe inayohitajika.
Kupata Clean 9 - WhatsApp/ SMS 0753 706 284
we waona ndogo eee?
Nimechoka kunenepe jamani hebu niambie mliotumia hiki kitu ni kweli? Nataka kupungua sasa
John Komba kaiona hii?
Mkuu siku nyingine tunappo kuwa na hoja nyeti kwa Taifa letu kama hii ishia kuchungulia tu, usubirie kwenye hoja za siasa zenu za kitoto, mlizozoea nasi mjadala kama huu unaohusu wabunge kutumika kupotosha umma kwa maslahi yao binafsilaki 9 ? Hiyo ni bei ya miezi 9 kwenye gym ninayofanyia mazoezi .
Ku panic kwako bado hakuwezi kuondoa ukweliMkuu siku nyingine tunappo kuwa na hoja nyeti kwa Taifa letu kama hii ishia kuchungulia tu, usubirie kwenye hoja za siasa zenu za kitoto, mlizozoea nasi mjadala kama huu unaohusu wabunge kutumika kupotosha umma kwa maslahi yao binafsi
Mkuu sio kweli. Dozi 265,000 tuu.
Full Dose tunafanya kwa 575,000 tuu. Unapata ya siku tisa na ya mwezi mzima.
mi natani ni nenepe nyie mnapunguza kweli kueni na huruma jamani huku wembamani kuna taabu unaitwa muathirika live and direct acheni jammani http://bicmarkshop.wapka.mobi