Clara Luvanga: Wanaume wanaogopa kunitongoza

Clara Luvanga: Wanaume wanaogopa kunitongoza

images

Aisee ana misuli balaa...
 
Hii ndio mikato yangu wakuu, mwenye namba zake tafadhali....😋
Dah! Umetisha sana muhuni , nililioteaga moja kwenye harakati zangu dah! ratiba likawa linaandaaga lenyewe tu .

Utata masign yake sasa ,utasikia oyi tukakiwashe au? Vinakuwaga na wet ya maana hivi nihatari .

Ila huwa inapendaga kufinywa kiadui siyo kama wetu hawa.
 
Ye angekuwa mwanaume sngetongoza mwanamke km yeye?

Ajiweke kikike, nguo za kike, kawigi, make up.. wahuni wanaishi nae, asubuhi akienda kuoga make up imetoka, haina tabu muhuni akikumbuka PAPA wemba ilivyo tamu na michezo qnaiweza, anabaki demu wa mafichoni.
Umetoka kuswali insha lakini Ostadh 😹
 
Naomba Muongozo, nimekuwa nafatilia sana timu za wanawake huko nje, na timu yangu pendwa ni chelsea women.. asilimia kubwa wachezaji wote wanakuwa na mionekano ya kike.(wazuri) ila hapa bongo ukisikia kuna binti anacheza mpira basi usiangaike kujua anafananaje! total kama mwanaume! shida ni nini?
Mazoezi na vyakula, vyakula vyetu vina jenga mwili ukiwa unafanya kazi ngumu kidogo tu bila ata kwenda Gym, kingine Mazingira ya malezi ya familia.
 
Sasa kama hata akiwa kwenye maisha ya kawaida anajiweka kiume.?

Mbona mi nawatani sana Oppah clement, na a.corazone wa simba japo ni wabishi uwanjani..
 
Sasa kama mwanamke ana sura imekakamaa kama ya mwanaume kuna mwanaume gani atajitosa kumtongoza? Labda atongozwe na wale wanaume ambao hujaribu kutongoza wanawake wenye haiba ya kiume ili tu waonje mpiko wake una ladha gani
 
Back
Top Bottom