Clara Luvanga: Wanaume wanaogopa kunitongoza

Clara Luvanga: Wanaume wanaogopa kunitongoza

Naomba Muongozo, nimekuwa nafatilia sana timu za wanawake huko nje, na timu yangu pendwa ni chelsea women.. asilimia kubwa wachezaji wote wanakuwa na mionekano ya kike.(wazuri) ila hapa bongo ukisikia kuna binti anacheza mpira basi usiangaike kujua anafananaje! total kama mwanaume! shida ni nini?
Chief
Hata akina Corazon wa Simba hujawaona kweli....?
 
Staa wa zamani wa Yanga Princess anayekipiga klabu ya wanawake ya Al Nassr amefunguka kuhusu mahusiano.

Anasema kwasasa hana mpenzi kwakuwa wanaume wengi wanaogopa kumtongoza.

Una maoni gani?View attachment 3350479
bado hajajua kuogopa na kutotaka..... sasa mwanaume aogope kumtongoza kwa lipi ila hawezi kumtongoza kwa muonekano wake......

watu wanatongoza hadi viwete ije kua yeye mwenye miguu miwili anatembea kabisa.... changamoto sura ya babu mzaa bibi
 
Hivi Clara Luvanga na Lovenesss Tarimo kisu cha haja nani? Au, kama ni lazima uwe na mmoja wao, utaenda na nani?! Binafsi nitaenda na huyo Binti wa Utopolo aka Clara Luvanga lakini Loveness eti aniambie hana kichomeko hata kadonyo?
 
Hiyo tunaijua, tukutongoze ufike ghetto utugeuke mara wewe ndo umesimamisha
 
Ina maana hapo kuna picha yake?
Ndiyo imewekwa hapo juu, huyu Mkuu
Screenshot_20250531_104553_Chrome.jpg
 
Mimi sikuogopi karibu pm Iko wazi,najua uko humu
 
Back
Top Bottom