PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 13,279
- 22,169
Ndio wanaitwa mtu na nusu Huyu akilala na yule boya Dk kumbuka au anko T si anawatia mimba kabisa?
Dk. Kumbuka akilala na huyu asubuhi ataamka anahara.
Ndio wanaitwa mtu na nusu Huyu akilala na yule boya Dk kumbuka au anko T si anawatia mimba kabisa?
Ahsante Mkuu Don Masanja huyohuyo, lilinitoka kabisa.Mjomba anaitwa mrisho mpoto
Mtego huo hapo hakuna tobo tobole la mbeleko.Staa wa zamani wa Yanga Princess anayekipiga klabu ya wanawake ya Al Nassr amefunguka kuhusu mahusiano.
Anasema kwasasa hana mpenzi kwakuwa wanaume wengi wanaogopa kumtongoza.
Una maoni gani?View attachment 3350479
😂😂😂😂😂😂Hatongozwi kwasababu she's very handsome
Aahh tuache masihara huyo hata angevaaje au angejiwekaje hakuna mwanaume rijali angedate naye na kusema kabisa eti naye ana mwanamke, kwanza ana sauti nzito kama mwanaume na hana maziwa wala matako na sura ndio kama unavyoiona, sasa kwa wanaume wetu hawa wanaopenda hayo mambo nani atakubali kuwa naye mi naona hao waacheni tu wajiweke wanavyoona wao inafaa kwakweliSawa mazoezi yanawaweka na misuli, sema wengi wao wanajiweka kiume zaidi, mavazi ya kiume. Sasa hapo na hiyo kaunda suti si utasema ni bob Ludala ama mjomba wa peku yule mnafiki jina nimelisahau.
Naomba Muongozo, nimekuwa nafatilia sana timu za wanawake huko nje, na timu yangu pendwa ni chelsea women.. asilimia kubwa wachezaji wote wanakuwa na mionekano ya kike.(wazuri) ila hapa bongo ukisikia kuna binti anacheza mpira basi usiangaike kujua anafananaje! total kama mwanaume! shida ni
Staa wa zamani wa Yanga Princess anayekipiga klabu ya wanawake ya Al Nassr amefunguka kuhusu mahusiano.
Anasema kwasasa hana mpenzi kwakuwa wanaume wengi wanaogopa kumtongoza.
Una maoni gani?View attachment 3350479
Duuh alitaka kufanana na Alex kajumulo.Staa wa zamani wa Yanga Princess anayekipiga klabu ya wanawake ya Al Nassr amefunguka kuhusu mahusiano.
Anasema kwasasa hana mpenzi kwakuwa wanaume wengi wanaogopa kumtongoza.
Una maoni gani?View attachment 3350479
Ila Serena alivostaafu akaacha mazoezi alikaa kike umbo zuri la kibantu na sura ikawa ya kike kabisaKuna jamaa alishambuliwa sana mtandaoni miaka fulani alicoment kwenye post ya Selena yule mcheza tennis kua anaeichapa ile pisi basi anaweza chapa hata punga maana hana tofauti na Me. Alishambuliwa sana yule bwana.
Hivi ushapata mchumba au Bado?Duuh alitaka kufanana na Alex kajumulo.
View attachment 3351471
Mjomba mpoto anakula TU sasa hatungi Tena nyimbo.Ila ukiendekeza tumbo utakufa kwa aibu na fedheha mbele ya wazalendoSawa mazoezi yanawaweka na misuli, sema wengi wao wanajiweka kiume zaidi, mavazi ya kiume. Sasa hapo na hiyo kaunda suti si utasema ni bob Ludala ama mjomba wa peku yule mnafiki jina nimelisahau.
nimependa neno mjomba wa peku yule mnafiki hili jina alione Lucas MwashambwaSawa mazoezi yanawaweka na misuli, sema wengi wao wanajiweka kiume zaidi, mavazi ya kiume. Sasa hapo na hiyo kaunda suti si utasema ni bob Ludala ama mjomba wa peku yule mnafiki jina nimelisahau.
jamaa anadhambi kubwa sana ya kuunga mkono watesi wetuMjomba mpoto anakula TU sasa hatungi Tena nyimbo.Ila ukiendekeza tumbo utakufa kwa aibu na fedheha mbele ya wazalendo
Baby ndio maana nikakupenda wewe tu!Sawa mazoezi yanawaweka na misuli, sema wengi wao wanajiweka kiume zaidi, mavazi ya kiume. Sasa hapo na hiyo kaunda suti si utasema ni bob Ludala ama mjomba wa peku yule mnafiki jina nimelisahau.
Mwenye mdomo kama anaonja chumvi kwenye mboga iliyokosa nauli ya kwa ankali?Sawa mazoezi yanawaweka na misuli, sema wengi wao wanajiweka kiume zaidi, mavazi ya kiume. Sasa hapo na hiyo kaunda suti si utasema ni bob Ludala ama mjomba wa peku yule mnafiki jina nimelisahau.