Clara Luvanga: Wanaume wanaogopa kunitongoza

Clara Luvanga: Wanaume wanaogopa kunitongoza

Ila Serena alivostaafu akaacha mazoezi alikaa kike umbo zuri la kibantu na sura ikawa ya kike kabisa
Mazoezi ndio yanawakomaza, hata huyo Clara akiacha mazoezi makali atakua pisi kali tu.
 
Hivi ushapata mchumba au Bado?

Hahahaaaa bado , unaonitafutia wewe wote classic matawi ya juu....natafuta ambaye tunaweza shinda porini tukichoma mkaa , Vic hawezi kushinda porini 😀😀😀😀 kashazoe upepo wa bahari Mbweni Beach.
 
Staa wa zamani wa Yanga Princess anayekipiga klabu ya wanawake ya Al Nassr amefunguka kuhusu mahusiano.

Anasema kwasasa hana mpenzi kwakuwa wanaume wengi wanaogopa kumtongoza.

Una maoni gani?View attachment 3350479
unaanzia wapi kumtongoza na sura hiyo, hebu avae viatu vya mwanaume aone kama angeweza, mtuoneage huruma
 
Sawa mazoezi yanawaweka na misuli, sema wengi wao wanajiweka kiume zaidi, mavazi ya kiume. Sasa hapo na hiyo kaunda suti si utasema ni bob Ludala ama mjomba wa peku yule mnafiki jina nimelisahau.
Huyu mh.... Kuna kitu beyond mwonekane wake au mazoezi au namna anavyojiweka. Mbona kuna wachezaji wa kike wengi tu wenye kufanya mazoezi lakini wana mwonekane wa kike.? Ni kama yule mnyanyua vitu vizito. Kuna namna kwenye maumbile yao.....
 
Misuli ikianza kuonekana kukaza ni taabu tupu labda ka Nyashii ipoo
 
Sawa mazoezi yanawaweka na misuli, sema wengi wao wanajiweka kiume zaidi, mavazi ya kiume. Sasa hapo na hiyo kaunda suti si utasema ni bob Ludala ama mjomba wa peku yule mnafiki jina nimelisahau.
Halafu hadi papa nayo si inakakamaa kwa misuli
 
Ngoja nimfollow kwenye insta alafu ni m-dm nijaribu bahati
 
Nani mtongoze kiumbe kama huyu,yaani kwa muonekano huu hata wanaume tuna sura nzuri
 
Back
Top Bottom