Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,477
- 10,339
Mbona kama mwanaume ila jina la kikeStaa wa zamani wa Yanga Princess anayekipiga klabu ya wanawake ya Al Nassr amefunguka kuhusu mahusiano.
Anasema kwasasa hana mpenzi kwakuwa wanaume wengi wanaogopa kumtongoza.
Una maoni gani?View attachment 3350479
Hata sautini ya kiumeSawa mazoezi yanawaweka na misuli, sema wengi wao wanajiweka kiume zaidi, mavazi ya kiume. Sasa hapo na hiyo kaunda suti si utasema ni bob Ludala ama mjomba wa peku yule mnafiki jina nimelisahau.
Et ana sura nzito hahahaha.......Huyo ni mwanamke? Ana sura nzito nilidhani mwanaume.
yuko wapi namwona Ngolo cant`eStaa wa zamani wa Yanga Princess anayekipiga klabu ya wanawake ya Al Nassr amefunguka kuhusu mahusiano.
Anasema kwasasa hana mpenzi kwakuwa wanaume wengi wanaogopa kumtongoza.
Una maoni gani?View attachment 3350479
Kuna jamaa alishambuliwa sana mtandaoni miaka fulani alicoment kwenye post ya Selena yule mcheza tennis kua anaeichapa ile pisi basi anaweza chapa hata punga maana hana tofauti na Me. Alishambuliwa sana yule bwana.Sawa mazoezi yanawaweka na misuli, sema wengi wao wanajiweka kiume zaidi, mavazi ya kiume. Sasa hapo na hiyo kaunda suti si utasema ni bob Ludala ama mjomba wa peku yule mnafiki jina nimelisahau.