Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,406
unatafuta upigwe bisibisi na mainjinia wanatembeaga nazo kwenye makoti unaleta low voltageNitarudi acha niweke mambo sawa kwanza
unatafuta upigwe bisibisi na mainjinia wanatembeaga nazo kwenye makoti unaleta low voltageNitarudi acha niweke mambo sawa kwanza
kwa uwezo wa kawaida kuwa expert wa AutoCAD tu but ukipenda waeza jifunza ArchCAD procon na tools zingine kibao za desingningshukran mkuu, just a little explanation with great meaning to my career.
bt if una maelezo ya ziada kuhusiana na drawings za kihandisi, pls be patient to share with us!!!
Kijana umeleta uzi mzuri ila kwenye heading unasema civil engineers alafu kwenye content unasema engineers wote!! Hapo umetuchanganya mkuu!!
Ngoja nitulize akili nije nijibu swali lako...
unapita unaenda wapi Demiss karibu ujifunze uhandisi hapaNapita Kwa kunata Salama mainjinia mmevaaa lakini mabuti na maelementi na makoti yenu kama Mataa ya ubungo
Hapana huku Nimekuja kutega mingooo unajua ninavyozimika na injinia mwenzioooHahahahaa umekuja kutunanga hapa sio
Mwenzio nimemaliza form 4 sjui Logarithim sjui kama nimepatia hata kuandika hayo ya uhandisi nitayaweza wapi mm Nimekuja kuwapiga chabo tuunapita unaenda wapi Demiss karibu ujifunze uhandisi hapa
utajua mbele kwa mbele usijali si umesema unataka kuzaa na engineer...hapa ndo mahali pa kumpatia ss huyo mzazi mwenzaMwenzio nimemaliza form 4 sjui Logarithim sjui kama nimepatia hata kuandika hayo ya uhandisi nitayaweza wapi mm Nimekuja kuwapiga chabo tu
Yeyote ambayo yupo singleeeyupi huyoo?
Yan mm ndo nilkuwa naijua civics ya kuanzia 1-4kichwani topic zote na sub-topichahahahaa umenikumbusha Mambo ya civics nilikua siyapendi kinoma
Shida yanguu ni katotoo karithi hayo mambo ya baba akeeeeutajua mbele kwa mbele usijali si umesema unataka kuzaa na engineer...hapa ndo mahali pa kumpatia ss huyo mzazi mwenza
wamekusikia ngoja watakuja kkupatia mbegu hawa wahandisiShida yanguu ni katotoo karithi hayo mambo ya baba akeeee
nimetumia muda mwingi sana kujiimarisha katika autocad na ArchCAD, na nilitaka nianze master series, bt some of ma college mates wakawa wanadai naconcetrate na vitu ambavyo sitavitumia kwa saana. bt thanks for ur advice hv bn helpfully.kwa uwezo wa kawaida kuwa expert wa AutoCAD tu but ukipenda waeza jifunza ArchCAD procon na tools zingine kibao za desingning
wamekushauri vema, maana vile vitu yunajifunza ili hata ukipewa layout ya mchoro uweze kuu tafsiri na wewe kama engineer kazi yako kubwa ni kutafsiri ile michoro pia kudesignnimetumia muda mwingi sana kujiimarisha katika autocad na ArchCAD, na nilitaka nianze master series, bt some of ma college mates wakawa wanadai naconcetrate na vitu ambavyo sitavitumia kwa saana. bt thanks for ur advice hv bn helpfully.
Alafu huwa mna miandiko mibayaaa nyieee kwa kuchora MA fire extinguisher sasa mnatishaaa balaaaaaah daah nilikuwa siipendi kinoma maana mimi memory yangu ya kumeza ni ndogo saana!