Civil Engineering Special Thread!

Ryzen

JF-Expert Member
Dec 6, 2012
7,305
8,655
Habari Zenu ndugu zangu, nimeona ni busara kuanzisha uzi huu mahususi kwa ajili ya kujadiliana maswala ya ujenzi kwa ujumla.

Ni ukweli usiopingika ujenzi ni sehemu muhimu ambayo kila mtu anatakiwa angalau kuwa na idea nayo!

Basi kwenye uzi huu tutaajadiliana changamoto zote za ujenzi yaani wa majengo, barabara na Miundombinu ya maji pia ambayo pia ni sehemu ya Uhandisi wa ujenzi/maji!

Tutakutana na wahandisi wa wa Majengo/Barabara pia na kwa upande wa Maji!

Ewe Mhandisi tunaomba ushirikiano wako katika kutimiza Hili, Aidha inaruhusiwa mtu yeyote kuuliza swali au kutoa idea na wataalamu/wahandisi tuliopo hapa Jukwaani tutasaidiana kufafanua.

Kama Mhandisi wa Ujenzi nimeona ni busara kuleta uzi huu kwenu, karibu nawe pia kwa mchango wako!

Ahsanteni sana!

ARCHITECTUS
upload_2017-9-5_14-53-47.jpeg
upload_2017-9-5_14-54-1.jpeg

upload_2017-9-5_14-54-12.jpeg
upload_2017-9-5_14-54-28.jpeg

images
images
 
Sababu nyingine inaweza kua soil liquefaction...
Sijui kiswahili chake...

Ndio maaana jengo lika settled upande mmoja then lika tilt..

Hapa hakukufanyika soil investigations ili kuweza kuamua foundation gani itakayofaaa...
 
Sababu nyingine inaweza kua soil liquefaction...
Sijui kiswahili chake...

Ndio maaana jengo lika settled upande mmoja then lika tilt..

Hapa hakukufanyika soil investigations ili kuweza kuamua foundation gani itakayofaaa...
Mkuu kwa jengo kama hilo unadhan waliweka foundation ingine tofauti na pile au deep foundation??
 
Nimepewa site ya barabara (gravel road) na barabara inapita Milimani yani milima Kweli... Naombeni ushauri nini Cha kuzingatia wahandisi haswa haswa ukizingatia kuna sharp corners na mawe mengi Sana na mengine yamefunga barabara kabisa. Please Sina uzoefu wa barabara hivyo ushauri wenu ni muhimu.
Nawasilisha.
 
Unequal settlement
Kama wewe ni injinia jua kujibu kamstari kamoja kama haka unakua unaonyesha dalili za uvivu wa kiwango cha juu sana!!

Majibu kama haya waachie akina magufuli, nappe, zitto na mangwini wengine!!

Nilitarajia ungeeleza na kutoa maelezo ya kutosha na sio kuandika kamstari kamoja as if unakimbizwa!!
 
Back
Top Bottom