Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Muda si mrefu leo hii dunia itashuhudia picha na matukio ya mauaji ya Osama Bin Laden kwenye television zote na kwenye mitandao duniani hii ni kutokana na utata uliojitokeza kwa kuuwawa kwa gaidi number moja duniani watu wamekua wakijiuliza kama Osama alikua anatafutwa kwa muda wa miaka 10 iweje kuuwawa na kuzikwa kwake iwe ni siri. Souce: CIA